Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Mayala.ni mganga njaa tu, mbona hajatoa kipengele kilichovunjwa?Nashukuru leo Paschal pale Star TV amekiri kwamba alipata misukosuko sn baada ya kuuliza swali la katiba pale ikulu, pia vyombo vya habari vilibanwa vibaya sn wakati wa dikteta. Hapo nimemwelewa mengine haya tuachane nayo maana katiba mpya siyo ajili ya CHADEMA pekee ni ya watanzania wote.
Mayala ni kada wa CCM na aligombea ubunge kura za maoni! Ndio yale yale ya wana Ccm kuipa promo Chadema.
Adili na mambo ya chama chake