Rufiji
Platinum Member
- Jun 18, 2006
- 1,883
- 948
Tatizo la Pascal na wengine wengini kutokuona mbali. Kwanza ya yote, katiba tunayoiongolea ni katiba ya nchi sio ya CHADEMA. Tumeona mapungufu ya hii katiba kipindi cha Magufuli na jinsi alivyoitumia kuminya haki za watu.
CHADEMA kutofuata katiba yao hakuwazuii Watanzania kupata katiba mpya; zaidi ya yote, CHADEMA ni chama kidogo na kichanga ukifananisha na taifa la Tanzania.
CHADEMA kutofuata katiba yao hakuwazuii Watanzania kupata katiba mpya; zaidi ya yote, CHADEMA ni chama kidogo na kichanga ukifananisha na taifa la Tanzania.