Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Mayala.ni mganga njaa tu, mbona hajatoa kipengele kilichovunjwa?Nashukuru leo Paschal pale Star TV amekiri kwamba alipata misukosuko sn baada ya kuuliza swali la katiba pale ikulu, pia vyombo vya habari vilibanwa vibaya sn wakati wa dikteta. Hapo nimemwelewa mengine haya tuachane nayo maana katiba mpya siyo ajili ya CHADEMA pekee ni ya watanzania wote.
Paschal inabidi kabla ya 2018 alikuwa ni mwandishi wa habari ukimuona kwenye TV hata kama una kula inabidi uache kwanza kula umsikilize, sijui shetani gani amekuja kumpitia hapo katikati amebaki Doto Bulendu pekee sijui ndiyo anaitwa hivyoMayala.ni mganga njaa tu, mbona hajatoa kipengele kilichovunjwa?
Mayala ni kada wa CCM na aligombea ubunge kura za maoni! Ndio yale yale ya wana Ccm kuipa promo Chadema.
Adili na mambo ya chama chake
Uko vizuri hadi umemshinda aliyeleta mada naona atagundua kuwa alileta utopolo hapaMtanisamehe labda uelewa wangu ni mdogo.
Nilichoelewa kwamba CHADEMA kama chama cha siasa basi kipo chini ya msimamizi wa vyama vya siasa ambaye amepewa mamlaka ya kuweza kushugulikia matatizo yote ya vyama vya siasa na hata kukifuta chama.
Hoja yangu ni kwamba kama CHADEMA wanakiuka Katiba yao je huyo msimamizi wa vyama vya kisiasa alichukua au amechukua hatua gani mpaka leo hii.
Kushindwa kwa msajili wa vyama vya kisiasa kuwachukulia hatua CHADEMA inaonyesha wazi kuwa Katiba yetu ya nchi ambayo imempa mamlaka msajili kusimamia vyama vya siasa haipo sawa inaitaji marekebisho Mana hakuna mtu au chama chochote ambacho kipo juu ya Katiba.
Pili, hauwezi kufananisha Katiba ya nchi na Katiba ya chama, Yani ni kusema kwamba kwa vile Katiba ya CHADEMA haijafika basi katiba ya nchi hisibadilishe, au udhaifu wa Katiba ya CHADEMA madhara yake ni kwa wanachama wake ila udhaifu wa Katiba ya nchi madhara yake ni kwa wananchi wote.
Nahisi kuwa hapo hoja ya uyo bro ilibidi iwe je tunaitaji mabadiliko ya Katiba au la. Na sio kutumia madhaifu ya chama kuficha hoja ya msingi.
Mayala.ni mganga njaa tu, mbona hajatoa kipengele kilichovunjwa?Nashukuru leo Paschal pale Star TV amekiri kwamba alipata misukosuko sn baada ya kuuliza swali la katiba pale ikulu, pia vyombo vya habari vilibanwa vibaya sn wakati wa dikteta. Hapo nimemwelewa mengine haya tuachane nayo maana katiba mpya siyo ajili ya CHADEMA pekee ni ya watanzania wote.
Yupo hapa jukwaani afafanue kwanzaMayala.ni mganga njaa tu, mbona hajatoa kipengele kilichovunjwa?
Mayala ni kada wa CCM na aligombea ubunge kura za maoni! Ndio yale yale ya wana Ccm kuipa promo Chadema.
Adili na mambo ya chama chake
Ni mjanja snHapo ulipomalizia ndipo umeharibu dhima ya uzi wako.
Kwani enzi za Magufuli hakuwana sifa ulizozitaja?
Mbona hakuteuliwa?
Pascal Mayalla umekuja kivingine ili kujipigia promo?
Umeonaaa ,Du mkuu kwa tusi hill haielekei kama wewe unahitaji uzi wako uchangiwe kwa hoja.
Karibu mitaa hii usome vipengele.Mayala.ni mganga njaa tu, mbona hajatoa kipengele kilichovunjwa?
Mayala ni kada wa CCM
Adili na mambo ya chama chake
Hata mimi ninamwelewa sana huyu kijanaUsijali Kaka huwa ninakuelewa sana tu.
Kwani hitaji la katiba mpya ni la wananchi au ChademaMkuu Babati, mimi nimeizungumzia sana katiba ya Chadema, angalia tarehe za mabandiko haya
Tuhuma Hii: CHADEMA kuendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa
Wanabodi, Uendeshaji wa vyama vya siasa nchini, unaongozwa na sheria, taratibu na kanuni. Ikithibitika pasipo shaka kuwa chama fulani, kinakiuka sheria, taratibu na kanuni, kinapaswa kuwajibishwa, kuadhibiwa hata kufutwa, kutegemeana na tuhuma halisi!. Miongoni mwa masharti ya usajili wa...www.jamiiforums.com
Fukuza Fukuza ya Uanachama: Kumbe Katiba ya CHADEMA ina makosa?
Wanabodi, Baada ya kuenea kwa uvumi wa timua timua nyingine Chadema, ambapo inasemekana kikao cha Bavicha, kimewavua uanachama wa Bavicha, wanachama wake watatu ambako kuvuliwa huko uanachama wa Bavicha, kutapelekea wanachama hao kupoteza sifa za uanachama wa Chadema automatically kwa mujibu...www.jamiiforums.com
P
Katiba ni ya wananchi na hitaji la katiba mpya ni hitaji la wananchi, ila ili kuipata hiyo katiba mpya ni mchakato wa kujenga hoja zenye nguvu ya hoja na sio hoja za nguvu.Kwani hitaji la katiba mpya ni la wananchi au Chadema
Masikini Pasco,
Hivi mpaka leo hawajampa uteuzi??
Sawa kabisa katiba ni yetu wananchi na nihitaji letu wananchi, sasa ni wapi tupate majukwaa sahihi ya kudai katiba mpyaKatiba ni ya wananchi na hitaji la katiba mpya ni hitaji la wananchi, ila ili kuipata hiyo katiba mpya ni mchakato wa kujenga hoja zenye nguvu ya hoja na sio hoja za nguvu.
Chadema wameamua kutumia hoja za nguvu, kupiga kelele na kususa ili kushinikiza, down the drain, they will go...6ft under!.
P