Ni matumaini yangu wana CHADEMA wote si tu mmemsikia bali mmemuelewa vyema tu Kada wa CCM Pascal Mayalla

Tatizo la Pascal na wengine wengini kutokuona mbali. Kwanza ya yote, katiba tunayoiongolea ni katiba ya nchi sio ya CHADEMA. Tumeona mapungufu ya hii katiba kipindi cha Magufuli na jinsi alivyoitumia kuminya haki za watu.

CHADEMA kutofuata katiba yao hakuwazuii Watanzania kupata katiba mpya; zaidi ya yote, CHADEMA ni chama kidogo na kichanga ukifananisha na taifa la Tanzania.
 
Kwani huko ccm timua timua hakunaga?
 
Umemlisha maneno,Pasco hawaezi kuwa kilaza nmna huyo.
Kuwa suala la katiba sio la CHADEMA suala la katiba Ni la watanzania wore hata Pasco na Wana CCM wenye akili.
Hayo sio maneno ya Pasco nimjuaye.
 
Hili ndio tatizo kubwa la chadema kujihisi kwamba mna akili,maono na ujuvi wa kila kitu hata kama hamnazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…