Ni mawaziri wangapi wanaweza kukataa rushwa ya Tsh milioni 300?

Ni mawaziri wangapi wanaweza kukataa rushwa ya Tsh milioni 300?

Ukisema umekataa maana yake unawajua wanaokubali...
Huu uchonganishi, awataje wanaokubali
 
Naweza kumpongeza mh waziri jerry slaa Kwa uthubutu wake wa kukataa rushwa ya milioni 300 ingawa sina uhakika kama amekataa kweli!!!
Ingawa wabongo ni wagumu muda mwingine kuelewa na kukubali hii statement ya slaa lkn bado kwangu Mimi naweza kumuamini aliyosema pia wapo baadhi ya wamaziri wenye Nia NJEMA na nchi.

Mashaka yangu yanaenda Kwa hawa FISI....
1) FISI kama NAPE anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka kwenye makampuni ya simu ili Starlink wasiruhisiwe kufanya kaza Tanzania?

2) FISI kama MAKAMBA anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili umeme wa Tanzania uendelee kusumbua ili wauze majenereta na kuingia mikataba mibovu inayowapa faida wawekezaji?

3) FISI kama MWIGULU anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili tozo za mafuta na mikataba ya 10 percent zisiwepo Tanzania?

4) FISI kama KITILA MKUMBO anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kwa kutuletea wawekezaji fake wa magari ?

....... Kama rushwa imepenyezwa kiwango hiki Kwa mawaziri basi Hali ni mbaya Sana Kwa nchi hii na sidhani kama kuna MTU anaweza kukataa pesa za bure kama hizo, Kwa utawala huu wa rushwa uliopo wafanyabiashara wanapeta Sana na biashara zao zitafanikiwa Sana maana kila mtu yupo Kwaajili ya tumbo lake.....
Achana na huyo tapeli
 
Naweza kumpongeza mh waziri jerry slaa Kwa uthubutu wake wa kukataa rushwa ya milioni 300 ingawa sina uhakika kama amekataa kweli!!!
Ingawa wabongo ni wagumu muda mwingine kuelewa na kukubali hii statement ya slaa lkn bado kwangu Mimi naweza kumuamini aliyosema pia wapo baadhi ya wamaziri wenye Nia NJEMA na nchi.

Mashaka yangu yanaenda Kwa hawa FISI....
1) FISI kama NAPE anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka kwenye makampuni ya simu ili Starlink wasiruhisiwe kufanya kaza Tanzania?

2) FISI kama MAKAMBA anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili umeme wa Tanzania uendelee kusumbua ili wauze majenereta na kuingia mikataba mibovu inayowapa faida wawekezaji?

3) FISI kama MWIGULU anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili tozo za mafuta na mikataba ya 10 percent zisiwepo Tanzania?

4) FISI kama KITILA MKUMBO anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kwa kutuletea wawekezaji fake wa magari ?

....... Kama rushwa imepenyezwa kiwango hiki Kwa mawaziri basi Hali ni mbaya Sana Kwa nchi hii na sidhani kama kuna MTU anaweza kukataa pesa za bure kama hizo, Kwa utawala huu wa rushwa uliopo wafanyabiashara wanapeta Sana na biashara zao zitafanikiwa Sana maana kila mtu yupo Kwaajili ya tumbo lake.....
Mbona hakumpeleka TAKUKURU huyo muhongaji?
 
Naweza kumpongeza mh waziri jerry slaa Kwa uthubutu wake wa kukataa rushwa ya milioni 300 ingawa sina uhakika kama amekataa kweli!!!
Ingawa wabongo ni wagumu muda mwingine kuelewa na kukubali hii statement ya slaa lkn bado kwangu Mimi naweza kumuamini aliyosema pia wapo baadhi ya wamaziri wenye Nia NJEMA na nchi.

Mashaka yangu yanaenda Kwa hawa FISI....
1) FISI kama NAPE anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka kwenye makampuni ya simu ili Starlink wasiruhisiwe kufanya kaza Tanzania?

2) FISI kama MAKAMBA anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili umeme wa Tanzania uendelee kusumbua ili wauze majenereta na kuingia mikataba mibovu inayowapa faida wawekezaji?

3) FISI kama MWIGULU anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili tozo za mafuta na mikataba ya 10 percent zisiwepo Tanzania?

4) FISI kama KITILA MKUMBO anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kwa kutuletea wawekezaji fake wa magari ?

....... Kama rushwa imepenyezwa kiwango hiki Kwa mawaziri basi Hali ni mbaya Sana Kwa nchi hii na sidhani kama kuna MTU anaweza kukataa pesa za bure kama hizo, Kwa utawala huu wa rushwa uliopo wafanyabiashara wanapeta Sana na biashara zao zitafanikiwa Sana maana kila mtu yupo Kwaajili ya tumbo lake.....
Kabudi wa makenikia?? 300m mbna ndgo sana....Nape 300??? Sio kweli ndgo mnoo hyoo
 
Wanasiasa ni wafanyabiashara kupitia siasa..
Kupata ridhaa ya kisiasa ktk nchi Za kiafrika ni gharama kubwa mnoo..Udiwani,ubunge,urais..

Nini faida ya kuwa mwanasiasa ktk vyeo au nyadhifa husika?

Mathalani ili kuwa Diwani mgombea aweza kUtumia si chini ya 150 to 200 Million..Ubunge 300M to 600M,..Urais (DRC)-Katumbi?!!Ruto (Kenya)..Ramaphosa..
 
Hiyo.ilikua ndogo bwana.

Jamaa wanatupiga sana tu.

Wasitudanganye eti kuwa wanatupenda sana.
 
Naweza kumpongeza mh waziri jerry slaa Kwa uthubutu wake wa kukataa rushwa ya milioni 300 ingawa sina uhakika kama amekataa kweli!!!
Ingawa wabongo ni wagumu muda mwingine kuelewa na kukubali hii statement ya slaa lkn bado kwangu Mimi naweza kumuamini aliyosema pia wapo baadhi ya wamaziri wenye Nia NJEMA na nchi.

Mashaka yangu yanaenda Kwa hawa FISI....
1) FISI kama NAPE anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka kwenye makampuni ya simu ili Starlink wasiruhisiwe kufanya kaza Tanzania?

2) FISI kama MAKAMBA anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili umeme wa Tanzania uendelee kusumbua ili wauze majenereta na kuingia mikataba mibovu inayowapa faida wawekezaji?

3) FISI kama MWIGULU anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili tozo za mafuta na mikataba ya 10 percent zisiwepo Tanzania?

4) FISI kama KITILA MKUMBO anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kwa kutuletea wawekezaji fake wa magari ?

....... Kama rushwa imepenyezwa kiwango hiki Kwa mawaziri basi Hali ni mbaya Sana Kwa nchi hii na sidhani kama kuna MTU anaweza kukataa pesa za bure kama hizo, Kwa utawala huu wa rushwa uliopo wafanyabiashara wanapeta Sana na biashara zao zitafanikiwa Sana maana kila mtu yupo Kwaajili ya tumbo lake.....
Umepatia sana. Fisi kama hao uliyowataja hawawezi bila shaka kukataa rushwa ya tshs milioni 300. Kuna wana tamaa ya urais na wanaamini kwenye ile mbinu ya lowassa kwamba unaweza kununua urais kwa hela.
Jambo moja tunakubaliana awamu hii ina wala rushwa wakubwa kuanzia kichwa.
 
Naweza kumpongeza mh waziri jerry slaa Kwa uthubutu wake wa kukataa rushwa ya milioni 300 ingawa sina uhakika kama amekataa kweli!!!
Ingawa wabongo ni wagumu muda mwingine kuelewa na kukubali hii statement ya slaa lkn bado kwangu Mimi naweza kumuamini aliyosema pia wapo baadhi ya wamaziri wenye Nia NJEMA na nchi.

Mashaka yangu yanaenda Kwa hawa FISI....
1) FISI kama NAPE anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka kwenye makampuni ya simu ili Starlink wasiruhisiwe kufanya kaza Tanzania?

2) FISI kama MAKAMBA anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili umeme wa Tanzania uendelee kusumbua ili wauze majenereta na kuingia mikataba mibovu inayowapa faida wawekezaji?

3) FISI kama MWIGULU anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili tozo za mafuta na mikataba ya 10 percent zisiwepo Tanzania?

4) FISI kama KITILA MKUMBO anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kwa kutuletea wawekezaji fake wa magari ?

....... Kama rushwa imepenyezwa kiwango hiki Kwa mawaziri basi Hali ni mbaya Sana Kwa nchi hii na sidhani kama kuna MTU anaweza kukataa pesa za bure kama hizo, Kwa utawala huu wa rushwa uliopo wafanyabiashara wanapeta Sana na biashara zao zitafanikiwa Sana maana kila mtu yupo Kwaajili ya tumbo lake.....
Mkuu umetumia neno fisi kuwa nasibisha waheshimiwa wanne; Nape, Makamba, Mkumbo na Mwigilu.

Tuwekee ushahidi wa nyaraka za kuthibitisha ufisadi wao kiasi cha kuwafananisha na fisi!

Pia tufafanulie usafi wa Huyu Silaa toka akiwa meya wa jiji hadi ubunge. Unafahamu mchakato wa uchaguzi kwa wagombea wa udiwani, umeya na ubunge ndani ya CCM wewe?
 
Naweza kumpongeza mh waziri jerry slaa Kwa uthubutu wake wa kukataa rushwa ya milioni 300 ingawa sina uhakika kama amekataa kweli!!!
Ingawa wabongo ni wagumu muda mwingine kuelewa na kukubali hii statement ya slaa lkn bado kwangu Mimi naweza kumuamini aliyosema pia wapo baadhi ya wamaziri wenye Nia NJEMA na nchi.

Mashaka yangu yanaenda Kwa hawa FISI....
1) FISI kama NAPE anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka kwenye makampuni ya simu ili Starlink wasiruhisiwe kufanya kaza Tanzania?

2) FISI kama MAKAMBA anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili umeme wa Tanzania uendelee kusumbua ili wauze majenereta na kuingia mikataba mibovu inayowapa faida wawekezaji?

3) FISI kama MWIGULU anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili tozo za mafuta na mikataba ya 10 percent zisiwepo Tanzania?

4) FISI kama KITILA MKUMBO anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kwa kutuletea wawekezaji fake wa magari ?

....... Kama rushwa imepenyezwa kiwango hiki Kwa mawaziri basi Hali ni mbaya Sana Kwa nchi hii na sidhani kama kuna MTU anaweza kukataa pesa za bure kama hizo, Kwa utawala huu wa rushwa uliopo wafanyabiashara wanapeta Sana na biashara zao zitafanikiwa Sana maana kila mtu yupo Kwaajili ya tumbo lake.....
aliyetaka kutoa rushwa na aliyeahidiwa kupokea rushwa wote wal rushwa
 
Naweza kumpongeza mh waziri jerry slaa Kwa uthubutu wake wa kukataa rushwa ya milioni 300 ingawa sina uhakika kama amekataa kweli!!!
Ingawa wabongo ni wagumu muda mwingine kuelewa na kukubali hii statement ya slaa lkn bado kwangu Mimi naweza kumuamini aliyosema pia wapo baadhi ya wamaziri wenye Nia NJEMA na nchi.

Mashaka yangu yanaenda Kwa hawa FISI....
1) FISI kama NAPE anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka kwenye makampuni ya simu ili Starlink wasiruhisiwe kufanya kaza Tanzania?

2) FISI kama MAKAMBA anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili umeme wa Tanzania uendelee kusumbua ili wauze majenereta na kuingia mikataba mibovu inayowapa faida wawekezaji?

3) FISI kama MWIGULU anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili tozo za mafuta na mikataba ya 10 percent zisiwepo Tanzania?

4) FISI kama KITILA MKUMBO anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kwa kutuletea wawekezaji fake wa magari ?

....... Kama rushwa imepenyezwa kiwango hiki Kwa mawaziri basi Hali ni mbaya Sana Kwa nchi hii na sidhani kama kuna MTU anaweza kukataa pesa za bure kama hizo, Kwa utawala huu wa rushwa uliopo wafanyabiashara wanapeta Sana na biashara zao zitafanikiwa Sana maana kila mtu yupo Kwaajili ya tumbo lake.....
Jerry Slaa akikataa mil.300 natafuna ndala. Hana ubavu huo.
 
Naweza kumpongeza mh waziri jerry slaa Kwa uthubutu wake wa kukataa rushwa ya milioni 300 ingawa sina uhakika kama amekataa kweli!!!
Ingawa wabongo ni wagumu muda mwingine kuelewa na kukubali hii statement ya slaa lkn bado kwangu Mimi naweza kumuamini aliyosema pia wapo baadhi ya wamaziri wenye Nia NJEMA na nchi.

Mashaka yangu yanaenda Kwa hawa FISI....
1) FISI kama NAPE anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka kwenye makampuni ya simu ili Starlink wasiruhisiwe kufanya kaza Tanzania?

2) FISI kama MAKAMBA anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili umeme wa Tanzania uendelee kusumbua ili wauze majenereta na kuingia mikataba mibovu inayowapa faida wawekezaji?

3) FISI kama MWIGULU anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili tozo za mafuta na mikataba ya 10 percent zisiwepo Tanzania?

4) FISI kama KITILA MKUMBO anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kwa kutuletea wawekezaji fake wa magari ?

....... Kama rushwa imepenyezwa kiwango hiki Kwa mawaziri basi Hali ni mbaya Sana Kwa nchi hii na sidhani kama kuna MTU anaweza kukataa pesa za bure kama hizo, Kwa utawala huu wa rushwa uliopo wafanyabiashara wanapeta Sana na biashara zao zitafanikiwa Sana maana kila mtu yupo Kwaajili ya tumbo lake.....
Slaa naye anatafuta attention tu, kashindwa Kuchukua rushwa kwasababu lile eneo wanaishi vigogo wastaafu ambao akizingua lazima wamkaange kwa Rais.Ingekuwa Buguruni au Tandale kwa Tumbo angekuwa kashavuta mpunga siku nyingi!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Slaa naye anatafuta attention tu, kashindwa Kuchukua rushwa kwasababu lile eneo wanaishi vigogo wastaafu ambao akizingua lazima wamkaange kwa Rais.Ingekuwa Buguruni au Tandale kwa Tumbo angekuwa kashavuta mpunga siku nyingi!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
👍👏
 
Slaa naye anatafuta attention tu, kashindwa Kuchukua rushwa kwasababu lile eneo wanaishi vigogo wastaafu ambao akizingua lazima wamkaange kwa Rais.Ingekuwa Buguruni au Tandale kwa Tumbo angekuwa kashavuta mpunga siku nyingi!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Upo sahihi kabisaa kwasababu mitaa Ile kuna wakubwa wengi wa serikalini
 
Back
Top Bottom