Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na huyo tapeliNaweza kumpongeza mh waziri jerry slaa Kwa uthubutu wake wa kukataa rushwa ya milioni 300 ingawa sina uhakika kama amekataa kweli!!!
Ingawa wabongo ni wagumu muda mwingine kuelewa na kukubali hii statement ya slaa lkn bado kwangu Mimi naweza kumuamini aliyosema pia wapo baadhi ya wamaziri wenye Nia NJEMA na nchi.
Mashaka yangu yanaenda Kwa hawa FISI....
1) FISI kama NAPE anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka kwenye makampuni ya simu ili Starlink wasiruhisiwe kufanya kaza Tanzania?
2) FISI kama MAKAMBA anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili umeme wa Tanzania uendelee kusumbua ili wauze majenereta na kuingia mikataba mibovu inayowapa faida wawekezaji?
3) FISI kama MWIGULU anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili tozo za mafuta na mikataba ya 10 percent zisiwepo Tanzania?
4) FISI kama KITILA MKUMBO anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kwa kutuletea wawekezaji fake wa magari ?
....... Kama rushwa imepenyezwa kiwango hiki Kwa mawaziri basi Hali ni mbaya Sana Kwa nchi hii na sidhani kama kuna MTU anaweza kukataa pesa za bure kama hizo, Kwa utawala huu wa rushwa uliopo wafanyabiashara wanapeta Sana na biashara zao zitafanikiwa Sana maana kila mtu yupo Kwaajili ya tumbo lake.....
Mbona hakumpeleka TAKUKURU huyo muhongaji?Naweza kumpongeza mh waziri jerry slaa Kwa uthubutu wake wa kukataa rushwa ya milioni 300 ingawa sina uhakika kama amekataa kweli!!!
Ingawa wabongo ni wagumu muda mwingine kuelewa na kukubali hii statement ya slaa lkn bado kwangu Mimi naweza kumuamini aliyosema pia wapo baadhi ya wamaziri wenye Nia NJEMA na nchi.
Mashaka yangu yanaenda Kwa hawa FISI....
1) FISI kama NAPE anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka kwenye makampuni ya simu ili Starlink wasiruhisiwe kufanya kaza Tanzania?
2) FISI kama MAKAMBA anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili umeme wa Tanzania uendelee kusumbua ili wauze majenereta na kuingia mikataba mibovu inayowapa faida wawekezaji?
3) FISI kama MWIGULU anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili tozo za mafuta na mikataba ya 10 percent zisiwepo Tanzania?
4) FISI kama KITILA MKUMBO anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kwa kutuletea wawekezaji fake wa magari ?
....... Kama rushwa imepenyezwa kiwango hiki Kwa mawaziri basi Hali ni mbaya Sana Kwa nchi hii na sidhani kama kuna MTU anaweza kukataa pesa za bure kama hizo, Kwa utawala huu wa rushwa uliopo wafanyabiashara wanapeta Sana na biashara zao zitafanikiwa Sana maana kila mtu yupo Kwaajili ya tumbo lake.....
Kabudi wa makenikia?? 300m mbna ndgo sana....Nape 300??? Sio kweli ndgo mnoo hyooNaweza kumpongeza mh waziri jerry slaa Kwa uthubutu wake wa kukataa rushwa ya milioni 300 ingawa sina uhakika kama amekataa kweli!!!
Ingawa wabongo ni wagumu muda mwingine kuelewa na kukubali hii statement ya slaa lkn bado kwangu Mimi naweza kumuamini aliyosema pia wapo baadhi ya wamaziri wenye Nia NJEMA na nchi.
Mashaka yangu yanaenda Kwa hawa FISI....
1) FISI kama NAPE anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka kwenye makampuni ya simu ili Starlink wasiruhisiwe kufanya kaza Tanzania?
2) FISI kama MAKAMBA anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili umeme wa Tanzania uendelee kusumbua ili wauze majenereta na kuingia mikataba mibovu inayowapa faida wawekezaji?
3) FISI kama MWIGULU anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili tozo za mafuta na mikataba ya 10 percent zisiwepo Tanzania?
4) FISI kama KITILA MKUMBO anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kwa kutuletea wawekezaji fake wa magari ?
....... Kama rushwa imepenyezwa kiwango hiki Kwa mawaziri basi Hali ni mbaya Sana Kwa nchi hii na sidhani kama kuna MTU anaweza kukataa pesa za bure kama hizo, Kwa utawala huu wa rushwa uliopo wafanyabiashara wanapeta Sana na biashara zao zitafanikiwa Sana maana kila mtu yupo Kwaajili ya tumbo lake.....
Umepatia sana. Fisi kama hao uliyowataja hawawezi bila shaka kukataa rushwa ya tshs milioni 300. Kuna wana tamaa ya urais na wanaamini kwenye ile mbinu ya lowassa kwamba unaweza kununua urais kwa hela.Naweza kumpongeza mh waziri jerry slaa Kwa uthubutu wake wa kukataa rushwa ya milioni 300 ingawa sina uhakika kama amekataa kweli!!!
Ingawa wabongo ni wagumu muda mwingine kuelewa na kukubali hii statement ya slaa lkn bado kwangu Mimi naweza kumuamini aliyosema pia wapo baadhi ya wamaziri wenye Nia NJEMA na nchi.
Mashaka yangu yanaenda Kwa hawa FISI....
1) FISI kama NAPE anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka kwenye makampuni ya simu ili Starlink wasiruhisiwe kufanya kaza Tanzania?
2) FISI kama MAKAMBA anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili umeme wa Tanzania uendelee kusumbua ili wauze majenereta na kuingia mikataba mibovu inayowapa faida wawekezaji?
3) FISI kama MWIGULU anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili tozo za mafuta na mikataba ya 10 percent zisiwepo Tanzania?
4) FISI kama KITILA MKUMBO anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kwa kutuletea wawekezaji fake wa magari ?
....... Kama rushwa imepenyezwa kiwango hiki Kwa mawaziri basi Hali ni mbaya Sana Kwa nchi hii na sidhani kama kuna MTU anaweza kukataa pesa za bure kama hizo, Kwa utawala huu wa rushwa uliopo wafanyabiashara wanapeta Sana na biashara zao zitafanikiwa Sana maana kila mtu yupo Kwaajili ya tumbo lake.....
Mkuu umetumia neno fisi kuwa nasibisha waheshimiwa wanne; Nape, Makamba, Mkumbo na Mwigilu.Naweza kumpongeza mh waziri jerry slaa Kwa uthubutu wake wa kukataa rushwa ya milioni 300 ingawa sina uhakika kama amekataa kweli!!!
Ingawa wabongo ni wagumu muda mwingine kuelewa na kukubali hii statement ya slaa lkn bado kwangu Mimi naweza kumuamini aliyosema pia wapo baadhi ya wamaziri wenye Nia NJEMA na nchi.
Mashaka yangu yanaenda Kwa hawa FISI....
1) FISI kama NAPE anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka kwenye makampuni ya simu ili Starlink wasiruhisiwe kufanya kaza Tanzania?
2) FISI kama MAKAMBA anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili umeme wa Tanzania uendelee kusumbua ili wauze majenereta na kuingia mikataba mibovu inayowapa faida wawekezaji?
3) FISI kama MWIGULU anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili tozo za mafuta na mikataba ya 10 percent zisiwepo Tanzania?
4) FISI kama KITILA MKUMBO anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kwa kutuletea wawekezaji fake wa magari ?
....... Kama rushwa imepenyezwa kiwango hiki Kwa mawaziri basi Hali ni mbaya Sana Kwa nchi hii na sidhani kama kuna MTU anaweza kukataa pesa za bure kama hizo, Kwa utawala huu wa rushwa uliopo wafanyabiashara wanapeta Sana na biashara zao zitafanikiwa Sana maana kila mtu yupo Kwaajili ya tumbo lake.....
aliyetaka kutoa rushwa na aliyeahidiwa kupokea rushwa wote wal rushwaNaweza kumpongeza mh waziri jerry slaa Kwa uthubutu wake wa kukataa rushwa ya milioni 300 ingawa sina uhakika kama amekataa kweli!!!
Ingawa wabongo ni wagumu muda mwingine kuelewa na kukubali hii statement ya slaa lkn bado kwangu Mimi naweza kumuamini aliyosema pia wapo baadhi ya wamaziri wenye Nia NJEMA na nchi.
Mashaka yangu yanaenda Kwa hawa FISI....
1) FISI kama NAPE anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka kwenye makampuni ya simu ili Starlink wasiruhisiwe kufanya kaza Tanzania?
2) FISI kama MAKAMBA anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili umeme wa Tanzania uendelee kusumbua ili wauze majenereta na kuingia mikataba mibovu inayowapa faida wawekezaji?
3) FISI kama MWIGULU anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili tozo za mafuta na mikataba ya 10 percent zisiwepo Tanzania?
4) FISI kama KITILA MKUMBO anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kwa kutuletea wawekezaji fake wa magari ?
....... Kama rushwa imepenyezwa kiwango hiki Kwa mawaziri basi Hali ni mbaya Sana Kwa nchi hii na sidhani kama kuna MTU anaweza kukataa pesa za bure kama hizo, Kwa utawala huu wa rushwa uliopo wafanyabiashara wanapeta Sana na biashara zao zitafanikiwa Sana maana kila mtu yupo Kwaajili ya tumbo lake.....
"Huyu anatusanifu ili tuamini awaburuze wahusika hao Takukuru waliokuwa na malengo ya kutoa rushwa "Kwann akatae kwenye majukwaa na si kuwapeleka takukuru ?
Jerry Slaa akikataa mil.300 natafuna ndala. Hana ubavu huo.Naweza kumpongeza mh waziri jerry slaa Kwa uthubutu wake wa kukataa rushwa ya milioni 300 ingawa sina uhakika kama amekataa kweli!!!
Ingawa wabongo ni wagumu muda mwingine kuelewa na kukubali hii statement ya slaa lkn bado kwangu Mimi naweza kumuamini aliyosema pia wapo baadhi ya wamaziri wenye Nia NJEMA na nchi.
Mashaka yangu yanaenda Kwa hawa FISI....
1) FISI kama NAPE anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka kwenye makampuni ya simu ili Starlink wasiruhisiwe kufanya kaza Tanzania?
2) FISI kama MAKAMBA anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili umeme wa Tanzania uendelee kusumbua ili wauze majenereta na kuingia mikataba mibovu inayowapa faida wawekezaji?
3) FISI kama MWIGULU anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili tozo za mafuta na mikataba ya 10 percent zisiwepo Tanzania?
4) FISI kama KITILA MKUMBO anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kwa kutuletea wawekezaji fake wa magari ?
....... Kama rushwa imepenyezwa kiwango hiki Kwa mawaziri basi Hali ni mbaya Sana Kwa nchi hii na sidhani kama kuna MTU anaweza kukataa pesa za bure kama hizo, Kwa utawala huu wa rushwa uliopo wafanyabiashara wanapeta Sana na biashara zao zitafanikiwa Sana maana kila mtu yupo Kwaajili ya tumbo lake.....
Hii 300 hata Mimi nisingeacha aiseeJerry Slaa akikataa mil.300 natafuna ndala. Hana ubavu huo.
Slaa naye anatafuta attention tu, kashindwa Kuchukua rushwa kwasababu lile eneo wanaishi vigogo wastaafu ambao akizingua lazima wamkaange kwa Rais.Ingekuwa Buguruni au Tandale kwa Tumbo angekuwa kashavuta mpunga siku nyingi!Naweza kumpongeza mh waziri jerry slaa Kwa uthubutu wake wa kukataa rushwa ya milioni 300 ingawa sina uhakika kama amekataa kweli!!!
Ingawa wabongo ni wagumu muda mwingine kuelewa na kukubali hii statement ya slaa lkn bado kwangu Mimi naweza kumuamini aliyosema pia wapo baadhi ya wamaziri wenye Nia NJEMA na nchi.
Mashaka yangu yanaenda Kwa hawa FISI....
1) FISI kama NAPE anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka kwenye makampuni ya simu ili Starlink wasiruhisiwe kufanya kaza Tanzania?
2) FISI kama MAKAMBA anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili umeme wa Tanzania uendelee kusumbua ili wauze majenereta na kuingia mikataba mibovu inayowapa faida wawekezaji?
3) FISI kama MWIGULU anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kutoka Kwa wafanyabiashara ili tozo za mafuta na mikataba ya 10 percent zisiwepo Tanzania?
4) FISI kama KITILA MKUMBO anaweza kukataa rushwa ya milioni 300 kwa kutuletea wawekezaji fake wa magari ?
....... Kama rushwa imepenyezwa kiwango hiki Kwa mawaziri basi Hali ni mbaya Sana Kwa nchi hii na sidhani kama kuna MTU anaweza kukataa pesa za bure kama hizo, Kwa utawala huu wa rushwa uliopo wafanyabiashara wanapeta Sana na biashara zao zitafanikiwa Sana maana kila mtu yupo Kwaajili ya tumbo lake.....
👍👏Slaa naye anatafuta attention tu, kashindwa Kuchukua rushwa kwasababu lile eneo wanaishi vigogo wastaafu ambao akizingua lazima wamkaange kwa Rais.Ingekuwa Buguruni au Tandale kwa Tumbo angekuwa kashavuta mpunga siku nyingi!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Upo sahihi kabisaa kwasababu mitaa Ile kuna wakubwa wengi wa serikaliniSlaa naye anatafuta attention tu, kashindwa Kuchukua rushwa kwasababu lile eneo wanaishi vigogo wastaafu ambao akizingua lazima wamkaange kwa Rais.Ingekuwa Buguruni au Tandale kwa Tumbo angekuwa kashavuta mpunga siku nyingi!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app