AbouZakariya
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 1,646
- 2,378
Lazima una mambo mengi sana.Juzi jumatano nilikua namnunulia mtu voucher kwenye max malipo ya elfu 10 nikakosea namba ikaenda kwa mtu mwingine. Leo asubuhi nilikua namtumia dogo hela nikakosea hapa nasubiri ndani ya hizi siku 3 irudishwe hiyo hela maana ilikua ni hela ya dogo nimepewa na mtu nimpe ikapitishwa kwangu.
Kinachoniuma zaidi ni sasa hivi nilikua nalipia tena king'amuzi nimekosea namba elfu 69 yangu imeenda na maji.
Inawezekana nina mawazo sana bila kujijua ndo maana nakosea sana au nimekua mzembe tu? Maana hali Hii si kawaida kabisa
Sijawahi. Labda wanaonipa halafu nawarusha papuchi ila kutapeli kabisa hapana.Mzigua, yawezekana baada ya kukosea mara ya kwanza sasa umejenga hofu ya kurudia makosa, hiyo ndio inakusababisha uendelee kukosea.
Ila nikuulize hujawahi kumpiga mtu mkwanja wake? kama ulifanya hivyo ndo zinakutokea puani (jokin)
Faraja tu atakupaKwamba ndo pesa zitarudi au atanipa maneno matupu?
Mzigua90Poole nyege hzo
Karibu sanaNakuja [emoji39][emoji39]
Hahah.Si umeona wanasema itakua nyege eti. Nisaidie basi nisipoteze tena.
Njoo kwangu.Tatizo ntampa nani sasa anitolee hii shida.
the..twh..qwi..qwi... vingine hatuwezi jua wal kuona hebu sema hivyo unavyopatia tuone kama na vyenyewe hukoseiNakosea kwenye hela tu. [emoji21]
Mbona wapo wengi sanaaa.Tatizo ntampa nani sasa anitolee hii shida.
Hata hapa umekosea huu ujumbe ulitakiwa uupost fbYani nahakikisha mara mbili mbili na bado nakosea.