AbouZakariya
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 1,646
- 2,378
Mzigua, yawezekana baada ya kukosea mara ya kwanza sasa umejenga hofu ya kurudia makosa, hiyo ndio inakusababisha uendelee kukosea.
Ila nikuulize hujawahi kumpiga mtu mkwanja wake? kama ulifanya hivyo ndo zinakutokea puani (jokin)
Ila nikuulize hujawahi kumpiga mtu mkwanja wake? kama ulifanya hivyo ndo zinakutokea puani (jokin)