Ni mawazo yamenizidi au uzembe?

Ni mawazo yamenizidi au uzembe?

Mzigua, yawezekana baada ya kukosea mara ya kwanza sasa umejenga hofu ya kurudia makosa, hiyo ndio inakusababisha uendelee kukosea.
Ila nikuulize hujawahi kumpiga mtu mkwanja wake? kama ulifanya hivyo ndo zinakutokea puani (jokin)
 
Juzi jumatano nilikua namnunulia mtu voucher kwenye max malipo ya elfu 10 nikakosea namba ikaenda kwa mtu mwingine. Leo asubuhi nilikua namtumia dogo hela nikakosea hapa nasubiri ndani ya hizi siku 3 irudishwe hiyo hela maana ilikua ni hela ya dogo nimepewa na mtu nimpe ikapitishwa kwangu.
Kinachoniuma zaidi ni sasa hivi nilikua nalipia tena king'amuzi nimekosea namba elfu 69 yangu imeenda na maji.
Inawezekana nina mawazo sana bila kujijua ndo maana nakosea sana au nimekua mzembe tu? Maana hali Hii si kawaida kabisa
Lazima una mambo mengi sana.
Umri wako haujafikia hatua ya kuwa na mambo mengi mengi kama hivyo
 
Mzigua, yawezekana baada ya kukosea mara ya kwanza sasa umejenga hofu ya kurudia makosa, hiyo ndio inakusababisha uendelee kukosea.
Ila nikuulize hujawahi kumpiga mtu mkwanja wake? kama ulifanya hivyo ndo zinakutokea puani (jokin)
Sijawahi. Labda wanaonipa halafu nawarusha papuchi ila kutapeli kabisa hapana.
 
Pole mwaya inaelekea unamawazo sana jaribu kupumzisha akili yako kwa kufanya kitu unachokipenda lakini pia mtafute mwanasaikolojia atakusaidia vizuri zaidi na usisahau kupunguza nyenye sio nzuri kwa afya yako.
 
Back
Top Bottom