Ni mawazo yamenizidi au uzembe?

Ni mawazo yamenizidi au uzembe?

Yaani vyuma vilivyokaza bado tu unalipia king'amuzi elf. 69. Kweli jamaa itabidi tumpe miaka 7 aweze kuwafikia na nyie [emoji12]
 
Yaani vyuma vilivyokaza bado tu unalipia king'amuzi elf. 69. Kweli jamaa itabidi tumpe miaka 7 aweze kuwafikia na nyie [emoji12]
Hiyo nilitumiwa. Naanzaje kujilipia king'amuzi hela yote hiyo. Si ningelipa cha 19000 dogo aangalie carton
 
Nakushauri ukienda kufanya miamala kama hiyo, toka na kadi za kingamuzi, kama kutuma hela andika namba kwenye karatasi kwanza, ge.nye zikiwa nyingi ni hatari kwa afya yako[emoji38] [emoji38] tafuta GEGEDO [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Hapana thos works...tena haswa kama unamtoto uwe unamkanda na mafuta hayo...mabichwa hayo makavu utaachaje kujisahau sahau...yamejaa masumu yanayotoka kwenye madawa yenu ya nywele...
Mi hata dawa ya nywele siweki. Nywele zangu ni maalum kwa weaves na wig hizo sumu sina kwa maana hiyo.
 
Hamna cha bahati, uwe serious mumeo yupo shida umeng'ang'ania waume wa wenzio kisa wanavitu unavyopenda..!

Ukiona uolewi jua shida ni wewe..
Basi nipeleke alipo huyo mume wangu akanioe.
 
Nakushauri ukienda kufanya miamala kama hiyo, toka na kadi za kingamuzi, kama kutuma hela andika namba kwenye karatasi kwanza, ge.nye zikiwa nyingi ni hatari kwa afya yako[emoji38] [emoji38] tafuta GEGEDO [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Nimeelewa ushauri wako wote
 
Back
Top Bottom