GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wanaume tuliopo hapa JF tafadhali hebu tupeane Maujanja kabla mambo hayajaharibika huku kwa Shemeji yenu kwani nimecheza Faulo / Kumchiti mahala na Kuchoka ile mbaya na kwa dalili zote nizionazo kwa Shemeji yenu ni kwamba leo atataka nimchape nao / nimkaze hivyo nataka Kumkwepa na ikiwezekana nimkaze / nimchape nao Kesho au Jumatano ila nikijilazimisha Kumbandua leo nina uhakika wa 100% kuwa atanishtukia kuwa nimemchiti na Kitawaka ukizingatia ni Mkorofi / Mtata hakuna mfano.