Ni mbinu ipi Mwanaume uliyetoka 'Kumchiti' Mkeo unatakiwa uitumie pale akikufanyia 'Ambush' ya kufanya nae Mapenzi huku ukiwa Umechoka sana?

Mwambie jamaa yako kama ulivyosema kisha umwambie kuna msiba umetokea mahala fln kwa jamaa yenu
Iwe hivi..
Jamaa yako:shem salama? aisee tumepata msiba huku namtafta GENTA simu yake hapatikani vipi yupo wapi naweza ongea naye? mpe simu .

Kisha ukipewa simu huzunika sana huku akisema una maanisha Binti komwe katutoka? wewe uko wapi sasa hivi?
Poa nakuja hapo sasa hivi niwakute asee.

Usiage kwa wife mwambie ngoja niwaone mara moja.Tokomea kama kuna faulo nyingine cheza cheza hadi saa5 usiku kisha rudi ukiwa na huzuni mno.

Mwambie wife jamaa kakuuma mno lala hadi saa2 kisha piga simu ya mchongo sema vilevile nakuja hapo dk0 nenda rudi saa9 jioni lala au angalia tamthiriya huku ukitafuna nazi mbichi,mihogo mibichi mara karanga hujakaa kwenye sofa upo jikoni kuchukua carrot muda huo parachichi lipo mkono wa kushoto.Yaanu uwe busy kama kuku anatafuta sehemu ya kutagia hadi wife achanganikiwe (akikuuliza mwambie maiti ipo mochwari mmechanga michango maana watasafirishwa kwao mwakareli ndanindani huko ni baadhi tu wataenda kuwakilisha)

usiku peleka moto huku ukimwambia tena maiti ipo mochwari mazishi hadi ijumaa na wana safirisha michango mmechanga wewe hutaenda.

Akikusanukia niite mariam mvaa bikin

GENTAMYCINE
 
Ndio maana mnakufa mapema
 
Kanuni huwa ni maja kwa upnde wangu mchepuko huwa alizishwi
Kwa mchepuko piga kamoja au 2 bas rudi home kwa mchepuko tunapeleka vtu ving sana na ni ngumu mchepuko kukuacha kisa humridhishi
 
Hio ilishanikuta enzi zangu nikiwa "Kiboloika" nilipiga show ya kibabe ili kufunika mechi ya awali ila kwa sasa utu uzima umeshanighubika nimestaafu michezo ya kunyenga nyenga hovyo watoto wa watu.😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…