Kweli mkuu,mda mwingine wanashindwa hata kutafsiri maneno sahihi kama yalivyosemwa na makocha ama wachezaji.Era zinatofautiana,
Wengi wetu ambao ni Old Schools tutamtaja Dr Leakey Abdallah, ambapo then unakuja kumwona Edo Kumwembe anajaribu kuiga vitu vingi kutoka kwa mzee huyu. These guys go extra mile to give you some of the info that you don't easily find on the internet.
Hawa wengine unakuta ni copy paste kutoka kwenye mitandao ya majuu, they exactly tell what we also have read.
Nikweli umesemaEra zinatofautiana,
Wengi wetu ambao ni Old Schools tutamtaja Dr Leakey Abdallah, ambapo then unakuja kumwona Edo Kumwembe anajaribu kuiga vitu vingi kutoka kwa mzee huyu. These guys go extra mile to give you some of the info that you don't easily find on the internet.
Hawa wengine unakuta ni copy paste kutoka kwenye mitandao ya majuu, they exactly tell what we also have read.
Nikweli umesemaEra zinatofautiana,
Wengi wetu ambao ni Old Schools tutamtaja Dr Leakey Abdallah, ambapo then unakuja kumwona Edo Kumwembe anajaribu kuiga vitu vingi kutoka kwa mzee huyu. These guys go extra mile to give you some of the info that you don't easily find on the internet.
Hawa wengine unakuta ni copy paste kutoka kwenye mitandao ya majuu, they exactly tell what we also have read.
Mtu anayejua hapa bongo ni Leaky Abdalah na Eddo Kumwembe,hao wengine wababaishaji tuu,kuna siku Maulid Kitenge aliniacha hoi,akidai eti mshindi wa Kombe la Dunia hapati zawadi ya pesa.
Era zinatofautiana,
Wengi wetu ambao ni Old Schools tutamtaja Dr Leakey Abdallah, ambapo then unakuja kumwona Edo Kumwembe anajaribu kuiga vitu vingi kutoka kwa mzee huyu. These guys go extra mile to give you some of the info that you don't easily find on the internet.
Hawa wengine unakuta ni copy paste kutoka kwenye mitandao ya majuu, they exactly tell what we also have read.
Dr leaky' ally mayai na Edo kumwembe kidogo namuelewa Andy masale
Leaky Abdallah ndio namkubali
Wamempiga fitina Sana amekaa pembeni
Ao kinashafii awajui chochote Mimi binafsi nikisimama nae namuacha mbali
Jamaa anakumbushiaga matukio tu ya zamani, upande wa kuelezea ishu za kiufundi, tactics za uwanjani ni MWEUPE zaidi ya Mzee akilimali.Mtu anayejua hapa bongo ni Leaky Abdalah na Eddo Kumwembe,hao wengine wababaishaji tuu,kuna siku Maulid Kitenge aliniacha hoi,akidai eti mshindi wa Kombe la Dunia hapati zawadi ya pesa.
Fitna gani kapigwa!?Leaky Abdallah ndio namkubali
Wamempiga fitina Sana amekaa pembeni
Ao kinashafii awajui chochote Mimi binafsi nikisimama nae namuacha mbali
Mchambuzi Super Sports South AfricaKweli mkuu,mda mwingine wanashindwa hata kutafsiri maneno sahihi kama yalivyosemwa na makocha ama wachezaji.
Hivi mbali na kuwa na makala magazetini Edo huwa anatangaza kwenye kituo gani?
Shukrani kiongozi.Mchambuzi Super Sports South Africa
Soka la bongoTanzania kuna wachambuzi wengi wa michezo kupitia vipindi vya michezo Redio Tanzania.
Je ni mtangazaji gani ni bora sana katika uchambuzi wa soka la tanzania na dunia
Je ni kipindi gani cha michezo katika redio gani kilicho bora sanaa kuliko vingine.
Embo mbona umempendelea?Soka la bongo
Ally Mayay Tembele
Jofrey Leah
Eddo Kumwembe
James Samweli
Gift Macha
ULAYA
Dr Leacky
Maestro
Eddo Kumwembe
Embo ndiyo nani??Embo mbona umempendelea?