Ni mchambuzi gani bora wa michezo Tanzania?

Ni mchambuzi gani bora wa michezo Tanzania?

Era zinatofautiana,

Wengi wetu ambao ni Old Schools tutamtaja Dr Leakey Abdallah, ambapo then unakuja kumwona Edo Kumwembe anajaribu kuiga vitu vingi kutoka kwa mzee huyu. These guys go extra mile to give you some of the info that you don't easily find on the internet.

Hawa wengine unakuta ni copy paste kutoka kwenye mitandao ya majuu, they exactly tell what we also have read.
Kweli mkuu,mda mwingine wanashindwa hata kutafsiri maneno sahihi kama yalivyosemwa na makocha ama wachezaji.
Hivi mbali na kuwa na makala magazetini Edo huwa anatangaza kwenye kituo gani?
 
Era zinatofautiana,

Wengi wetu ambao ni Old Schools tutamtaja Dr Leakey Abdallah, ambapo then unakuja kumwona Edo Kumwembe anajaribu kuiga vitu vingi kutoka kwa mzee huyu. These guys go extra mile to give you some of the info that you don't easily find on the internet.

Hawa wengine unakuta ni copy paste kutoka kwenye mitandao ya majuu, they exactly tell what we also have read.
Nikweli umesema
 
Era zinatofautiana,

Wengi wetu ambao ni Old Schools tutamtaja Dr Leakey Abdallah, ambapo then unakuja kumwona Edo Kumwembe anajaribu kuiga vitu vingi kutoka kwa mzee huyu. These guys go extra mile to give you some of the info that you don't easily find on the internet.

Hawa wengine unakuta ni copy paste kutoka kwenye mitandao ya majuu, they exactly tell what we also have read.
Nikweli umesema
 
Mtu anayejua hapa bongo ni Leaky Abdalah na Eddo Kumwembe,hao wengine wababaishaji tuu,kuna siku Maulid Kitenge aliniacha hoi,akidai eti mshindi wa Kombe la Dunia hapati zawadi ya pesa.
Era zinatofautiana,

Wengi wetu ambao ni Old Schools tutamtaja Dr Leakey Abdallah, ambapo then unakuja kumwona Edo Kumwembe anajaribu kuiga vitu vingi kutoka kwa mzee huyu. These guys go extra mile to give you some of the info that you don't easily find on the internet.

Hawa wengine unakuta ni copy paste kutoka kwenye mitandao ya majuu, they exactly tell what we also have read.
Dr leaky' ally mayai na Edo kumwembe kidogo namuelewa Andy masale
Leaky Abdallah ndio namkubali
Wamempiga fitina Sana amekaa pembeni
Ao kinashafii awajui chochote Mimi binafsi nikisimama nae namuacha mbali
Mtu anayejua hapa bongo ni Leaky Abdalah na Eddo Kumwembe,hao wengine wababaishaji tuu,kuna siku Maulid Kitenge aliniacha hoi,akidai eti mshindi wa Kombe la Dunia hapati zawadi ya pesa.
Jamaa anakumbushiaga matukio tu ya zamani, upande wa kuelezea ishu za kiufundi, tactics za uwanjani ni MWEUPE zaidi ya Mzee akilimali.
Kijana Jeff Leah anakuja kwa kasi na yuko neutral ktk chambuzi zake ingawa ni Simba na Manu, haingizagi hisia kama yeye ni mchambuzi ila siku akiongeaga kama mdau wa soka anaonyeshaga hisia zake.
Yuko vizuri, anajua tactics za uwanjani.
 
Kweli mkuu,mda mwingine wanashindwa hata kutafsiri maneno sahihi kama yalivyosemwa na makocha ama wachezaji.
Hivi mbali na kuwa na makala magazetini Edo huwa anatangaza kwenye kituo gani?
Mchambuzi Super Sports South Africa
 
Tanzania kuna wachambuzi wengi wa michezo kupitia vipindi vya michezo Redio Tanzania.

Je ni mtangazaji gani ni bora sana katika uchambuzi wa soka la tanzania na dunia

Je ni kipindi gani cha michezo katika redio gani kilicho bora sanaa kuliko vingine.
Soka la bongo

Ally Mayay Tembele

Jofrey Leah

Eddo Kumwembe

James Samweli

Gift Macha



ULAYA

Dr Leacky

Maestro

Eddo Kumwembe
 
Shafiih anacopy na kupaste news za magazete ya ulaya na kitendo cha kujifanya yeye ndo hashauriki kimtazamo ndo kinamharibia sana,,,,,,,EDDO KUMWEMBE NAMKUBALI
 
Back
Top Bottom