mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Kula gwala!umesomeka vyemaBasically bullet inaundwa na madini yanayoipa jina risasi(lead)..hii ni heavy metal and better electro positive metal..cijui unanipata mkuuu???
Hivyo basi hii no sumu Kali endapo ikikutana na mwili...
Nb..1.water taps unapozitumia wanashauri ufungue maji yatiririke takriban 2minutes...ndo uchote maji
2.maji ya kwenye vyungu vya udongo ni hatari kwa afya...??
3.raisi fulani nimemsahau jina aliomba wanasayansi wamtengenezee dawa ya kuishi mda mrefu,yaan ya kurejuvenile cells za mwili...wanasayansi walifaulu kiasi Fulani lakini ndani ya hiyo dawa lead and silver ilikuwemo...kilichotokea n kifo
Umepata concept??
Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
Ova