Ni mechanism gani iko ndani ya risasi (bullet) kiasi cha kuua kwa kasi?

Ni mechanism gani iko ndani ya risasi (bullet) kiasi cha kuua kwa kasi?

Ngoja nikujuze kwanza tofauti zao.

MAPIGO NA UPENYAJI
Kifaa kinachorusha risasi huwa inatuma risasi kwa nguvu sana ukilinganisha na mkono..

Kisu hiko hiko kingetumwa kwa nguvu kama ya risasi ungeona tokeo lake lilivo.

Kani inayorusha inafanya kupenya kwa risasi kuwa sana kuliko kasi inayochomwa na kisu kwa mkono.


Pia target , mara nyingi mtu anaetumia risasi anaamini nguvu na huweza wake hivyo hulenga sehemu hatari kama kichwani kifuani n.k bila kujali upinzani wa mifupa wa sehemu hizo.
Ila kisu mtu anataget sehemu ambayo kisu kitapenya kwa urahisi na sio pale panapo leta athari kubwa.


Kwa hiyo mtu ataye pigwa risasi begani na mwingine akapigwa kisu cha moyo kikapita hasa unahisi nani atakufa haraka?

siko vile nilivyokuwa, haimaanishi nipo tofauti.
 
Mkuu kinachoua kwa haraka kwenye Risasi ni pressure ambayo risasi inakuja nayo, mfano nguvu ya mlipuko wa risasi ni Tani 2 hadi 7 inamaana kama mzigo huo wa pressure unaweza ukainyanyua pick up kubwa. hizi risasi wanazotumia majeshi yetu zenye size ya 7.2mm*39 ina speed ya 776m/s riffle. Uharibifu unaofanya risasi ni zile shock wave inayoambatana na speed pamoja na upepo [waves] inayotembea nayo.
Haimaanishi risasi ina sumu, japo content yake ni Steel core, Lead Jacket ikifunikwa na Bullet Jacket yenyematerial ya bass au mchanganyiko wa copper nk inategemea ni risasi ya aina gani na bunduki gani
Kwa hiyo billet proof inazuia tani 2-7?
 
Haya ndyo maajab ya risasi japo cjajua imetengenezwa VP,
1.Risasi ikitoka kwenye mdomo wa bunduki hukimbia kwa kuzunguka mpaka itakapoisha nguvu au kutua
2.Risasi huwaka moto kwa mbele
3.Risasi inapoingilia huwa na kijitundu kdogo lakn inapotokea huacha tundu kubwa sana
3.Risasi huenda umbali unaotegemeana na aina ya bunduki iliyotumika kufyatua Risasi hyo mfn,Risasi ya AkA 47; huweza kwenda umbali wa km 3.8 in a vacuum

Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
 
Kuna zile bunduki za kuwindia unaweka kipisi cha nyondo Milimita 16 kama sikosei, akikufumua ya kifua uti wa mgongo una banduka, akikufumua ya kichwa ubongo unatoka na kuruka umbali wa kilomita 6....
Risasi ya SMG unaenda umbali wa 2.6 km japo target 80% ni nita 100 sasa ubongo utaendaje 6km?
 
Asante mkuu kwa elimu nzuri.
Risasi inatoka kwa speed kali ikiwa inazunguka katika mhimili wake inapoingia tundu dogo ikifika ndani inakoroga viungo ndani ikitokeza shimo kubwa kifo mara moja

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
 
se
Kuna zile bunduki za kuwindia unaweka kipisi cha nyondo Milimita 16 kama sikosei, akikufumua ya kifua uti wa mgongo una banduka, akikufumua ya kichwa ubongo unatoka na kuruka umbali wa kilomita 6....
sema haki ya Mungu
 
Kuna bro mmoja street,ailipigwa risasi mguuni na polisi baada ya kuiba Gari Malawi,...alifanikiwa kutoroka ...akakaa masaa 43 ndipo akaenda hospital kuitoa

Matokeo
1.mguu ulikuwa kama masizi
2.sumu imeshambulia mapafu(alveoli)
Baada ya masaa mawili mauti ilimpata

Wasiwasi wangu ni pale unaposema kitu chochote kikikaa sehemu sio take huleta madhara..ni sahihi ila risasi INA sumu mkuu

Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
Hakuna sumu inayowekwa zaidi ya effect ya risasi yenyewe, hali ya hewa na effect ya risasi jinsi inavyosafiri na pale inapoingia kwa kasi mwilini

sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
 
Sijakuelewa swali, kuzuiaje kwa mfano.
Eti kinachoua ni nguvu ya risasi yenye uzito wa Tani 2-7.Swali langu ni kujua bullet proof vest zinafanyaje kazi ya kuzuia risasi isiingie mwilini kama mechanism ya risasi kuingia mwilini ni pressure?
 
humu ndan kuna wakuu wengi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye risasi kwa nyuma kunakuwa na nafasi ambako hukaa unga wa risasi/gun powder. Ukivuta trigger kuna kanyundo hugonga risasi kwa nyuma na kusababisha unga wa risasi kuwaka. Mlipuko huo husababisha pressure kubwa sana maana hewa iliyopo hupata moto ghafla. Pressure hiyo husukuma risasi kwa kasi mbele sababu ndiyo sehemu pekee ya kutokea. Kuna wale wa magibole hukatika vidole. Unakuta wameweka gun powder nyingi hivyo ikilipuka hutengeneza pressure kubwa kiasi risasi inatokea pale kwenye trigger.

Mechanism yake haitofautiani sana na pressure kutokana na kuwaka kwa mafuta huendesha piston kwenye gari.
 
Kuna bro mmoja street,ailipigwa risasi mguuni na polisi baada ya kuiba Gari Malawi,...alifanikiwa kutoroka ...akakaa masaa 43 ndipo akaenda hospital kuitoa

Matokeo
1.mguu ulikuwa kama masizi
2.sumu imeshambulia mapafu(alveoli)
Baada ya masaa mawili mauti ilimpata

Wasiwasi wangu ni pale unaposema kitu chochote kikikaa sehemu sio take huleta madhara..ni sahihi ila risasi INA sumu mkuu

Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
Atakuwa alivuja damu nyingi sana, tetenasi pia ilisababisha

Sent from my Phantom6-Plus using JamiiForums mobile app
 
Pamoja ma kwamba risasi yaweza kuwa na aina fulani za sumu kutegemeana na material zulizotumika, bado the speed at which a bullet moves, the impact when hitting target which is determined by kinetic energy Ek = 1/2 x Mass x Velocity^2, the energy obtained by the body in motion causes a very high pressure during impact.

Kama kitu kimehit kichwani, kifuani, maeneo ya moyo, figo, ini....aaah ni mwendo wa dk au sekunde tu.
 
Kuna zile bunduki za kuwindia unaweka kipisi cha nyondo Milimita 16 kama sikosei, akikufumua ya kifua uti wa mgongo una banduka, akikufumua ya kichwa ubongo unatoka na kuruka umbali wa kilomita 6....
Duh! uti wa mgongo unabanduka, ubongo unaruka km 6!,ingawa si mazuri laini nimecheka.
 
Risasi inaharibu organ za mwili na kusababisha uvujaji wa damu nyingi kwa haraka ,hii inaongeza uwezo wa mtu kufa hapohapo hasa kama imepigwa maeneo ya kifuani na kuharibu mapafu,moyo ,ini na hata kiunoni na kuharibu figo au kichwani na kuharibu ubongo.Kama mtu amepigwa risasi chini ya goti au mikononi anaweza kuvuja damu kiasi kidogo na kuwahishwa hospitalini na kupata matibabu akapona.
kweli mkuu,ila nimestuka kidogo hapo unapoziongelea figo kiunoni,kwa Biology yangu dhaifu nakumbuka figo tunazifuatilia hapo usawa wa mbavu ya mwisho chini lakini kwa nyuma kama unaelekea kwenye uti wa mgongo ila kabla hujaufikia,hata maumivu ya figo unaweza kuyasikilizia hapo.
 
Back
Top Bottom