Asante, jf kituo cha ujuziBaba ndani ya mtoto kuna line 4 zilizoviringishwa kuanzia mwanzo mpaka mwisho mwa mtutu risasi inapotoka inatoka kwa kuviringika katika hiyo mistari speed kali inapoingia mahali uviringisha nyama nakufanya uharibifu mkubwa sana jitazamie kideo chini.
Mobile Traveller
Nafikiri sheria zinakataza kutumia risasi zenye sumu.Pamoja ma kwamba risasi yaweza kuwa na aina fulani za sumu kutegemeana na material zulizotumika, bado the speed at which a bullet moves, the impact when hitting target which is determined by kinetic energy Ek = 1/2 x Mass x Velocity^2, the energy obtained by the body in motion causes a very high pressure during impact.
Kama kitu kimehit kichwani, kifuani, maeneo ya moyo, figo, ini....aaah ni mwendo wa dk au sekunde tu.
Mmmh kumbeBasically bullet inaundwa na madini yanayoipa jina risasi(lead)..hii ni heavy metal and better electro positive metal..cijui unanipata mkuuu???
Hivyo basi hii no sumu Kali endapo ikikutana na mwili...
Nb..1.water taps unapozitumia wanashauri ufungue maji yatiririke takriban 2minutes...ndo uchote maji
2.maji ya kwenye vyungu vya udongo ni hatari kwa afya...??
3.raisi fulani nimemsahau jina aliomba wanasayansi wamtengenezee dawa ya kuishi mda mrefu,yaan ya kurejuvenile cells za mwili...wanasayansi walifaulu kiasi Fulani lakini ndani ya hiyo dawa lead and silver ilikuwemo...kilichotokea n kifo
Umepata concept??
Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
kweli mkuu,ila nimestuka kidogo hapo unapoziongelea figo kiunoni,kwa Biology yangu dhaifu nakumbuka figo tunazifuatilia hapo usawa wa mbavu ya mwisho chini lakini kwa nyuma kama unaelekea kwenye uti wa mgongo ila kabla hujaufikia,hata maumivu ya figo unaweza kuyasikilizia hapo.
Mtuambie na jinsi ya kukwepa risasi,maana tunaona tu kwenye movie
Thank you!Nimetumia lugha rahisi ,huwa zipo juu ya mfupa wa nyonga au chini ya mbavu kwa nyuma
Hapana , sababu kuu ni pressure effect to the body tissues resulted from conversion of kinetic energy.Basically bullet inaundwa na madini yanayoipa jina risasi(lead)..hii ni heavy metal and better electro positive metal..cijui unanipata mkuuu???
Hivyo basi hii no sumu Kali endapo ikikutana na mwili...
Nb..1.water taps unapozitumia wanashauri ufungue maji yatiririke takriban 2minutes...ndo uchote maji
2.maji ya kwenye vyungu vya udongo ni hatari kwa afya...??
3.raisi fulani nimemsahau jina aliomba wanasayansi wamtengenezee dawa ya kuishi mda mrefu,yaan ya kurejuvenile cells za mwili...wanasayansi walifaulu kiasi Fulani lakini ndani ya hiyo dawa lead and silver ilikuwemo...kilichotokea n kifo
Umepata concept??
Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
Wewe umeleza kwa lugha rahisi na umeeleweka vizuri sana.Very good.Mbona ni mechanism ndogo tuu,
Hapo ni ganda lililojazwa madini ya mlipuko(explosive) au baruti,njia kuu inayo tumika ni ku ingnite au kuiwasha kwa kuigonga kwa ntuma ili kizibo ambacho ni risasi kitoke kwa nguvu ya mlipuko.
Kugongwa kwa nyuma,ni kitu kidogo sana,nacho ni kibolt kinacho rushwa kwa spring maalum.
Very simple.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]F=ma.
Where F=force.
m=mass of moving body
a=acceleration due to rectilinear motion.
Ntarudi baadae.
umenifanya ni smile, big up, keep it upTena usiombe ikapigwa na Anord au Rambo..utajuta kuzaliwa Vietnam
JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
DUUH!Kuna zile bunduki za kuwindia unaweka kipisi cha nyondo Milimita 16 kama sikosei, akikufumua ya kifua uti wa mgongo una banduka, akikufumua ya kichwa ubongo unatoka na kuruka umbali wa kilomita 6....
Umenikumbusha mbali sana return spring mechanism (R. S. M)Mbona ni mechanism ndogo tuu,
Hapo ni ganda lililojazwa madini ya mlipuko(explosive) au baruti,njia kuu inayo tumika ni ku ingnite au kuiwasha kwa kuigonga kwa ntuma ili kizibo ambacho ni risasi kitoke kwa nguvu ya mlipuko.
Kugongwa kwa nyuma,ni kitu kidogo sana,nacho ni kibolt kinacho rushwa kwa spring maalum.
Very simple.
Mkuu risasi HAINA sumu ila kwa case ya huyo jamaa inawezekana akawa alipata INFECTION(MAAMBUKIZI) Kupiyia kwny majeraha ya hiyo risasi..Kuna bro mmoja street,ailipigwa risasi mguuni na polisi baada ya kuiba Gari Malawi,...alifanikiwa kutoroka ...akakaa masaa 43 ndipo akaenda hospital kuitoa
Matokeo
1.mguu ulikuwa kama masizi
2.sumu imeshambulia mapafu(alveoli)
Baada ya masaa mawili mauti ilimpata
Wasiwasi wangu ni pale unaposema kitu chochote kikikaa sehemu sio take huleta madhara..ni sahihi ila risasi INA sumu mkuu
Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
Mkuu kula like,kuna watu wanaelezea risasi inapokua imetoka kwa speed lkn hawajaelezea nn kinasababisha risasi iwe na speed ambayo inaweza kua harakaMbona ni mechanism ndogo tuu,
Hapo ni ganda lililojazwa madini ya mlipuko(explosive) au baruti,njia kuu inayo tumika ni ku ingnite au kuiwasha kwa kuigonga kwa ntuma ili kizibo ambacho ni risasi kitoke kwa nguvu ya mlipuko.
Kugongwa kwa nyuma,ni kitu kidogo sana,nacho ni kibolt kinacho rushwa kwa spring maalum.
Very simple.
Shukran mkuuKwenye risasi kwa nyuma kunakuwa na nafasi ambako hukaa unga wa risasi/gun powder. Ukivuta trigger kuna kanyundo hugonga risasi kwa nyuma na kusababisha unga wa risasi kuwaka. Mlipuko huo husababisha pressure kubwa sana maana hewa iliyopo hupata moto ghafla. Pressure hiyo husukuma risasi kwa kasi mbele sababu ndiyo sehemu pekee ya kutokea. Kuna wale wa magibole hukatika vidole. Unakuta wameweka gun powder nyingi hivyo ikilipuka hutengeneza pressure kubwa kiasi risasi inatokea pale kwenye trigger.
Mechanism yake haitofautiani sana na pressure kutokana na kuwaka kwa mafuta huendesha piston kwenye gari.