Ni member gani JF humpendi ama unamchukia, ila sio kwa ubaya?

Ni member gani JF humpendi ama unamchukia, ila sio kwa ubaya?

cocastic simuelewi Ni jins gani hvyo simuelewi ekewe nae ale bani

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ombi lako la Ban halijakamilika, weka na muda wa Ban. Poleeeeeeeeeh.

Kunywa maji mengi ya uvugu vugu, afu relaaaaaaaaaaaax
 
Avatar moja inajiita cocastic, inasapoti sana mambo kunuka na kupakana mavimavi jinsia moja utafikiri inalipwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] teeeeeenaaaaaaaaa?? Wakinipenda wengine inatoshaaaaaa, poleeeeeeh kwa kuteseka.

Uwiiiiiih
 
Sivutiwi na watu wenye tabia ya kuattack wengine kwa matusi, yaani unaeza andika kitu kawaida ila mvua ya matusi itakapotokea unabaki kushangaa.
 
chawa wote wa mama hovyo kabisa,unakuta dume zima linasifia hadi anapoteza sifa ya kuitwa mwanaume.
 
Wala haina haja ya kutangaziana wakati kitufe Cha block kipo,, wanaonikera wote wapo ignore list yangu na wala sishtuki najisikia vizuri mno,
Kitufe cha kublock ni kipi?
Naona cha kuignore tu.
 
Japokuwa hatujuani ila. Kwangu Mimi kuna.

Kundi A:, hawa sababu kuu ni kuwa eti kutembea na Ex wa mtu imekuwa sifa sikuhizi sio 🤣🤣🤣🤣🤣. Duuuh hata wajinga huzeeka. Acha niishie hapo.
Depal
Darlin
Lenie

Kundi B:
Wale makubwa jinga wa jf. Anyway hapa nimechanganya watu wenye tabia nyingi nyingi.
Hance Mtanashati
GENTAMYCINE
Glenn
xtaper.
Carleen.
 
Japokuwa hatujuani ila. Kwangu Mimi kuna.

Kundi A:, hawa sababu kuu ni kuwa eti kutembea na Ex wa mtu imekuwa sifa sikuhizi sio 🤣🤣🤣🤣🤣. Duuuh hata wajinga huzeeka. Acha niishie hapo.
Depal
Darlin
Lenie

Kundi B:
Wale makubwa jinga wa jf. Anyway hapa nimechanganya watu wenye tabia nyingi nyingi.
Hance Mtanashati
GENTAMYCINE
Glenn
xtaper.
Carleen.
Mama ako mwenyewe ni Ex wa jirani yetu, na kaolewa na baba ako 🤣🤣
 
MATHAYO. 5: 44-45

Lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi, ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni;

maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.
 
Back
Top Bottom