Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Mchukue tu bana kwan sh ngapi? Dah ila inauma sana kupigwa kibuti nusu saa kabla ya mwaka mpya kuanza.
Same
Ipi Cadey???Naomba unitag kwenye ile story yako,nilianza kuifatilia lakin sikupata mwendelezo,
Ya mafuta ni bora ni mcheki mshana nikufate kwa meditation wayNitumie tu pesa ya mafuta utaniona hapo dakika sifuri
Mchaga utafaidi pesa tu ila wapo very non-romantic, aku mi staki ๐, pambana utapata. Happy New year to you too darling wangu. Nakutakia mwaka mpya mwema wenye mafanikio.Mie nataka mchaga!....serious best!ah mpotezee huwez jua kuna danga limekaa smwhr linakusubiri!๐ happy new yr lov wangu!
Itapendeza ๐๐๐Ya mafuta ni bora ni mcheki mshana nikufate kwa meditation way
Mkuu I wish we meet one day. You are the traveller mkuuBora hukupenda kunijua mimi
Wengi wana maisha tofauti kabisa na uhalisia [emoji23]
Sent from my iPhone using Tapatalk
Jonah bby wangu mzuri mpolee mtaratibuu mwenye hekimaa
Mchaga utafaidi pesa tu ila wapo very non-romantic, aku mi staki ๐, pambana utapata. Happy New year to you too darling wangu. Nakutakia mwaka mpya mwema wenye mafanikio.
Mimi je mkuu???Me too, wanna meet you mkuu!
Aisee achana na jigjig kabisaaaa..kila siku utram unaongezeka cjui kwanini.๐ ๐ ๐ ! Sema kaumri ketu huwa katraamu kujig jig! I dont care ...nataka hela tu aisee!...khaa! Msalimie shem๐! Nipo na baba ubaya hapa๐ค๐ค๐ค
Wewe nataka nikuone...kesho asubuhi na mapema.Mimi je mkuu???
Aisee achana na jigjig kabisaaaa..kila siku utram unaongezeka cjui kwanini.
Msalimie sana mshkaji wangu huyo. Mie nipo alone..zimebaki dakika 20 nahisi kuanza mwaka peke yangu ๐๐
Ha haaa eti nitoke. Kiukweli huwa sipendi kutoka siku kama ya leo napenda mwaka unikute nyumbani tena kitandani.Ooops pole sana!anakusalimia pia!ss si utok๐
Mkuu I wish we meet one day. You are the traveller mkuu
Nice! Usk mwema!Ha haaa eti nitoke. Kiukweli huwa sipendi kutoka siku kama ya leo napenda mwaka unikute nyumbani tena kitandani.
Manengelo hatutaki kuonana hivi??Jamni! Mwenzako navyotafta mume wa kumpumzikia we unampiga kibuti?jaman jaman! Shaurirooo!
Manengelo hatutaki kuonana hivi??