Ni mikoa gani pisi kali za kichotara zinapatikana

Pemba ni kwamba hawana mambo mengi wao nia yako uoe tuu ila sasaa ukishao mzee ndugu watakuwa wanapishana tuu kwako afu usafi sifurii.
Wafilisti ni waunguja mademu wanashinda ndani muda woote kazi hawataki kufanya wao shughuli tuu ndo kazi yao twgemeo lao kubwa wanaume
 
Nenda Rujewa Mbeya wapo wa kutosha. Ukienda Madibira, Waburushi utawakuta wanalima mpunga na magurumeru. Pisi kali za kiajemi nywele mpaka kiunoni
Oyooooo....ahsante mkuu kwa kueleza sehemu husika! Ulivyosema kiajemi, nywele mpaka kiunoni...nimejiskia kulipa tozo mara mbili mbili.
Shukrani sana muheshimiwa mbunge.
 
Ahsante muheshimiwa,
Muda si mrefu ii hoja itapitishwa iwe sheria kabisa.

Tanga mpaka sasa ndo top scorer ligi kuu...kitu cha Mayele.
 
Eh! Apo unguja unafanywa mtaji wa tozo sio? Pemba nafuu kidogo lakini kwa spidi iyo, naona yanaeza tokea yale ya ule jamaa wa Mwanza.
 

Huko Kumeungua Shoka Mpini Umebaki

Mambo Ni Moto Sana, Yaani Raha Sana

Ni mwendo wa kukata miti tu. Ndo maana tunaambiwa mkulima ndio faida ya jamii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…