Mwanzo wakati mnaanza mahusiano ilikuwaje mkuu..??Hana hata hilo tako
Yani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapizungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine, kitu chochote cha ki academic haelewi kam vile hajasoma, nakua na hasira sana
I feel like i married an idiot
N.B
Hana tako kam ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Binafsi mtu aneongelea au kuchambua mapungufu ya mke wake namuona yeye ndiyo mwenye shida na mapungufu.Yani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapizungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine, kitu chochote cha ki academic haelewi kam vile hajasoma, nakua na hasira sana
I feel like i married an idiot
N.B
Hana tako kam ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Nisaidie kumwambia kuwa ninatoa kozi ya wanawake vilaza plz😂Mwanzo wakati mnaanza mahusiano ilikuwaje mkuu..??
Na je unajitahidi kumuongoza katika njia sahihi wewe kama mumewe..??
Umejaribu kufanya jitihada za aina yoyote ile kumuongezea uelewa na maarifa kwenye mambo tofauti tofauti..?
Na yeye anafahamu unavyojiskia kuhusu hili suala..?
Achague moja tu ambalo ni msingi wa ndoa yao ...huwezi kupewa vyote kamweNachojua wanawake wa namna hiyo wengi huwa submissive na huwachukulia waume zao kama mwanzo na mwisho. Hawana dreams wala matarajio katika maisha yaani kiufupi maisha yao yanaanza na kuishia pale yako yanapoanza na kuishia "wewe ndiye maisha yake"
Najua anakupa amani ya moyo sababu hakupi challenge na pengine ndio sababu ulimuoa Ila kwa sasa you want more...
Unaweza kumpa exposure ukitaka lakini ukiona ni kazi katafute wa kukupa hiyo package unayoitaka lakini nina uhakika bado kuna vitu vingi utavimiss kwa mkeo japo kwa sasa unavichukulia poa sababu ndivyo unavyovipata daily kiasi umevizoea, vimekuboa na havikusisimui tena
All in all do whats makes you happy
Haha...Nisaidie kumwambia kuwa ninatoa kozi ya wanawake vilaza plz😂
Kwa hii siredi yako tu, wewe ndo unaonekana huna akili.Yani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapizungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine, kitu chochote cha ki academic haelewi kam vile hajasoma, nakua na hasira sana
I feel like i married an idiot
N.B
Hana tako kam ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Muwwkee .saidizi,Huyu wangu ndo kabisaaa, mpaka mambo msingi ya responsibilities zake mpaka umkumbushe[emoji23]
Imagine mke hawezi kukufulia, usafi wa nyumba hawezi, nk.
Wanawake sometimes kuachwa mnajitakia wenyewe[emoji846]
Hana tako ? Anatumia mgongo kuketi?Yani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapizungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine, kitu chochote cha ki academic haelewi kam vile hajasoma, nakua na hasira sana
I feel like i married an idiot
N.B
Hana tako kam ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Mke ndio msaidizi wako, sasa iweje umletee msaidizi tena?Muwwkee .saidizi,
huwa tunajisahau na mazoea pia
Mtoa maada pitia hapa kuna la kujifunzaNachojua wanawake wa namna hiyo wengi huwa submissive na huwachukulia waume zao kama mwanzo na mwisho. Hawana dreams wala matarajio katika maisha yaani kiufupi maisha yao yanaanza na kuishia pale yako yanapoanza na kuishia "wewe ndiye maisha yake"
Najua anakupa amani ya moyo sababu hakupi challenge na pengine ndio sababu ulimuoa Ila kwa sasa you want more...
Unaweza kumpa exposure ukitaka lakini ukiona ni kazi katafute wa kukupa hiyo package unayoitaka lakini nina uhakika bado kuna vitu vingi utavimiss kwa mkeo japo kwa sasa unavichukulia poa sababu ndivyo unavyovipata daily kiasi umevizoea, vimekuboa na havikusisimui tena
All in all do whats makes you happy
HahahahHana tako ? Anatumia mgongo kuketi?
Hapana...lazima ktk kuangalia future ya watoto umpate mke ambaye walahu atawakumbusha watoto hata kufanya homework na kuwasaidiaWe jamaa utakuwa Muhaya aka "nshomile" ama lah basi ni mnyakyusa wa mwakaleli make ndo mnajifanyaga much know na nyodo za kishamba!
Unapata faida gani kumuanika mkeo na kumuadhirisha mtoto wa watu hapa?!
So what kwani tulikuchagulia?!! We mwenye akili umevumbua nini au taifa linakutegemea kwa kipi ulicho deliver?
Kazi ya mke ni kukuzalia watoto, kukuheshimu kama mumewe na kukusupport ktk harakati zako ktk kusaka tonge(kukuombea n.k). Sasa wewe ulimuoa ili mfanye debate na academic argumentations?!
If you married an idiot, then you are an idiot too.I feel like i married an idiot