Ni mimi peke yangu ndio nimeoa mke mwenye uwezo mdogo wa akili?

Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,

Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot

N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Na wenye jina la Fatuma ndio wapo hivi ,hawana akili hata robo
 
Halafu unamsemaje mke wako.. unaonekana kama wewe ndo una matatizo
 
Reactions: nao
Ila wanawake wa hivyo wanakuaga wazuri sana ila ubongo sasa [emoji40][emoji40][emoji40]
 
Kabisa
 
Wow umemaliza mzee
 
Ndiyo mzuri huyo...

Weka picha yake upewe miongozo...
 

Wajuaji pia wana changamoto zao japo wapo pia wajuaji, hustlers na wanyenyekevu kwa wakati mmoja lakini hawa huolewa faster sana kiasi huwezi wakuta wamekaa mtaani wanakusubiria. Of course ni dream women kwa wanaume wengi hivyo, huwa sishangai

Ila wale wajuaji wanaozijua harakati, wapo wengi tu na akitaka atawapata ila ndio ajiandae kuwa superior kwenye mahusiano ili mambo yaende sawa maana atapewa challenge daily. Awe na pesa, connections na akili zaidi maana hata ladies wa namna hii huheshimu wanaume exceptional only
 
Tuendelee kuomba kufunuliwa ya sirini, inatisha sana kugundua anayokuwazia mtu anayekuchekea usoni
 
Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,

Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot

N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Yani dhambi zingine hizi🀣🀣🀣
 
Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,

Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot

N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Hilo ni chaguo lako...
 
Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,

Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot

N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Huyo ndo mke sasa unataka pasua kichwa au
 
Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,

Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot

N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
No one woman will be ur everything
 
We ni mwanasikolojia au ni mtu ulokula chnvi nyingi? This one is great
 
We ni mwanasikolojia au ni mtu ulokula chnvi nyingi? This one is great
Hapana mkuu,
Mimi ni wale mnaita "millenials"na wala sio mwanasaikolojia

Shukrani kwa appreciation and compliment pia mkuu, I'm humbled πŸ™πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…