Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Mkuu, kunywa maji ya DAWASA bila kuyachemsha ni sawa na ku-commit suicide. Kuna wengine tuliacha hata hiyo kuchemsha tukifikiria wadudu waliomo ndani ya hayo maji ambao tunawameza hata kama wamekufa! Wazia kumeza hawa jamaaHabari za Majukumu!
Tangu mwaka huu uanze haya maji ya DAWASA nikiyanywa tumbo linaniuma. Zamani nilikuwa nakunywa ya kuchemsha yaani bila kuchemsha maji sinywi labda ninunue.
Mwaka jana nikajaribu kunywa maji ya bomba (DAWASA) bila kuchemsha nikaona hayana shida. Ni mpaka mwaka huu Januari ndio nakutwa na hali kama hii. Yaani nikiyanywa tuu tumbo linauma, ila nikinunua ya dukani au nikiyachemsha tumbo haliumi.
Hii maana yake nini? Ni mimi pekeangu?
Karibuni.
Serikali inahimiza na kuelemisha chemsha maji au tia water guard? Unafikiri wanafanya kazi bure? Unataka wakuchemshie?Habari za Majukumu!
Tangu mwaka huu uanze haya maji ya DAWASA nikiyanywa tumbo linaniuma. Zamani nilikuwa nakunywa ya kuchemsha yaani bila kuchemsha maji sinywi labda ninunue.
Mwaka jana nikajaribu kunywa maji ya bomba (DAWASA) bila kuchemsha nikaona hayana shida. Ni mpaka mwaka huu Januari ndio nakutwa na hali kama hii. Yaani nikiyanywa tuu tumbo linauma, ila nikinunua ya dukani au nikiyachemsha tumbo haliumi.
Hii maana yake nini? Ni mimi pekeangu?
Karibuni.
Miaka yote mamlaka za kiserikali na DAWASCO wenyewe wanasisitiza uchemshe maji kabla ya kuyanywa, sasa wewe jitie nunda ukuze typhoid na amoeba tumboni kwako, na hizi heka heka za bima zinazoendelea, ukikanyaga hospitali ndo utakiona cha mtema kuni. Wabongo acheni ubishi wa ki-uwendawazimu. Yaani wao wenyewe wanaoyachakata hayo maji wanawaambia mchemshe kabla ya kuyanywa, ila nyie mnajitia ununda, muishie kuumwa Typhoid sugu halafu muanze kuilaumu serikali tena.Habari za Majukumu!
Tangu mwaka huu uanze haya maji ya DAWASA nikiyanywa tumbo linaniuma. Zamani nilikuwa nakunywa ya kuchemsha yaani bila kuchemsha maji sinywi labda ninunue.
Mwaka jana nikajaribu kunywa maji ya bomba (DAWASA) bila kuchemsha nikaona hayana shida. Ni mpaka mwaka huu Januari ndio nakutwa na hali kama hii. Yaani nikiyanywa tuu tumbo linauma, ila nikinunua ya dukani au nikiyachemsha tumbo haliumi.
Hii maana yake nini? Ni mimi pekeangu?
Karibuni.
Muulize tu kiustaarabu mkuu..naamini ana sababuWakuu leo nimeona mpenzi wangu kapiga picha yupo kwenye ndege na sijui anaelekea wapi kwasababu pia hajaniambia kuhusu hiyo safari yake. Hii kitu ishanichanganya... nifanyeje kuhusu huyu mwanamke?
pole sana mkuuWakuu leo nimeona mpenzi wangu kapiga picha yupo kwenye ndege na sijui anaelekea wapi kwasababu pia hajaniambia kuhusu hiyo safari yake. Hii kitu ishanichanganya... nifanyeje kuhusu huyu mwanamke?
Habari za Majukumu!
Tangu mwaka huu uanze haya maji ya DAWASA nikiyanywa tumbo linaniuma. Zamani nilikuwa nakunywa ya kuchemsha yaani bila kuchemsha maji sinywi labda ninunue.
Mwaka jana nikajaribu kunywa maji ya bomba (DAWASA) bila kuchemsha nikaona hayana shida. Ni mpaka mwaka huu Januari ndio nakutwa na hali kama hii. Yaani nikiyanywa tuu tumbo linauma, ila nikinunua ya dukani au nikiyachemsha tumbo haliumi.
Hii maana yake nini? Ni mimi pekeangu?
Karibuni.
Hahahah mjanja umepatikanaWakuu leo nimeona mpenzi wangu kapiga picha yupo kwenye ndege na sijui anaelekea wapi kwasababu pia hajaniambia kuhusu hiyo safari yake. Hii kitu ishanichanganya... nifanyeje kuhusu huyu mwanamke?
Mwambie mama Samia amuulize wewe c chawa wakeWakuu leo nimeona mpenzi wangu kapiga picha yupo kwenye ndege na sijui anaelekea wapi kwasababu pia hajaniambia kuhusu hiyo safari yake. Hii kitu ishanichanganya... nifanyeje kuhusu huyu mwanamke?
Mbona kwa muda mrefu tumekuwa tukiamini wewe ni mtu mwenye akili timamu?Mwambie mama Samia amuulize wewe c chawa wake
Dawasa wana visima vya maji pia, mara nyingine hufungulia maji toka huko visimani.Wakuu leo nimeona mpenzi wangu kapiga picha yupo kwenye ndege na sijui anaelekea wapi kwasababu pia hajaniambia kuhusu hiyo safari yake. Hii kitu ishanichanganya... nifanyeje kuhusu huyu mwanamke?