Ni mitazamo gani mibaya uliyo nayo. Mimi yangu hii hapa...

Ni mitazamo gani mibaya uliyo nayo. Mimi yangu hii hapa...

😃😃
Ukifika kwèñye hiyo vituo vya bodaboda Huwezi Amini wale wakimya ndîo hata uwezo wa kueleza Jambo Hawana lakini waongeaji kidôgo zimo.

Ila ukimkuta mkimya mwenye Akili mara nyingi NI Genius ila wakimya wengi ni below average.

Na waongeaji wengi wàpo kwèñye average lakini ni nadra kukuta genius muongeaji
Hujawahi kutana na mada zao wale jamaa, ubaya ni kua wote ni waongeaji na hakuna mwenye data sahihi wala anaekaribia ukweli.

Wakimya wengi hawabishani, akiongea fact yake ikabishiwa anakaa kimya, huwezi kubishana na muongeaji utasanda tu, kwanza sauti yake kubwa, ana ushawishi na ni muongo.
Pamoja na hayo wengi wao wanakuaga na yule jamaa mwenye data wanaemuamini na huyo mara nyingi huwa sio muongeaji 😂😂.
 
😁😁
Hapana Mkuu
Wewe chunguza utanambia

Ila wàpo wachache Sana àmbao vichwa vimepigwa bapa alafu ziwe zimetimia

Asilimia tisini Huwezi kuwa mtunzi wa maandishi kama kichwa hazimo.
Waandishi wengi ni wanafalsafa.

Ila hiyo Haimanishi hawapo makanjanja àmbao huweza ku-copy maandishi ya Mtu Mwingine na kuyageuza ya Kwao. Wezi.

Kuhusu CCM na CHADEMA nimekuachia
Waandishi wengi wa kibongo bongo ni mahodari wa plagiarism. Hata wasanii wa zamani na producers wao walikuwa wanaiba sana lyrics za wasanii wa nje ya nchi na kuvigeuza vya kwao just to fit in and sound relevant in their homeland context.
 
vita umeianzisha wewe
3.hii namba tatu umenikosea sana.
kuna mtani wake bi mkubwa,miaka ya nyuma wakati tukiwa watoto wadogo alimwambi bi mkubwa ,kuwa anamsikitikia sana watoto wake bi mkubwa wote vichwa havina kisogo amepata hasara eti vichwa vyetu huwa havina akili..akimpa pole.
ILA MPAKA SASA ALISHAFUTA ILE KAULI.
Namba tatu..03..umetukosea sana,hii vita haitaisha ..
 
Waandishi wengi wa kibongo bongo ni mahodari wa plagiarism. Hata wasanii wa zamani na producers wao walikuwa wanaiba sana lyrics za wasanii wa nje ya nchi na kuvigeuza vya kwao just to fit in and sound relevant in their homeland context.

😂😂😂

Alafu tunajiita Great thinker
 
Huwa nawashuku watu wenye lips nene kuwa wananuka midomo.

Pia, nikiona mtoto mdogo wa kiume mwenye makalio makubwa huwa namshuku kwamba hana akili sawasawa.

Pia, nilikuwa na-asumme kwamba mameneja na admins wa kampuni/mashirika Wana akili balaa. Kumbe wengi ni weupe sana kichwani ila wana confidence nyingi na aibu kichele.
 
Kwamba Mzee wangu ndio alikuwa na AKILI kuliko wababa wote duniani..ha haaa
 
Niliamin kumiliki pisi zaid ya mbili ni siyo unyama.. Saiz nang'etua tu macho nipo nipo tu
 
Nilikua nafikiri hii Adam's Apple hapa shingoni huwa inauma leo hii mimi ndo ninayo shemeji yako anapenda kuichezea sana na yeye anaamini naumia kwahiyo akiigusa anakua very careful
AdamsApple-0cba118a13684da48aeb68c88a065c4a.jpg
 
Nilikuwa najua ccm watatawala milele na milele.
 
Back
Top Bottom