Ni mitazamo gani mibaya uliyo nayo. Mimi yangu hii hapa...

Nilikuwa najua mtu MPAKA awe Rais anakuwa na akili kuliko WATU wote kwenye nchi husika, ila nilipopata bahat ya kushuhudia uongozi wa Magufuli Kisha wa Samia, nimeisahihisha akili yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…