BAHATI MBAYA HAKUNA NAMNA!
AMRI ZA KANISA LAKO ZINASEMAJE EBU TUTAJIE tuchambue kutoka kwenye mkataba wako na kanisa ambazo ni AMRI ZA KANISA!
Kingine nikushauri jifunze kupuuzia maneno! Wakati mwingi maneno huwa hayana maana kwa anayeyapuuza!
Waaache wachunguze wewe sali na imani yako jali maisha yako! Kama unalala chini pouw tu kwani nini, kama ni fukara si ni fukara tu kwani uongo! Ujue wakati mwingine kujikubali na hali yako ni tiba!
Wewe ni masikini halafu unataka watu wakuone tajili kweli?
Mimi nilihamia kwangu ikiwa pagala yaani juu HAKUNA kenchi wala bati, na niliona poa tu amani tele na watu walifurahi sana kuja kwangu kuliko kwingine, vikao vingi vya jumuiya walipendekeza wakutanie kwangu wakati palikuwa pagala tupu, palikuwa pa kimaskini sana!
Kila baada ya sala waliomba Mungu anijalie nikamilishe ujenzi! BAADAE NEEMA Ilikuja pagala langu ndiyo miongoni mwa ghorofa na nyumba bora mtaani!
Ushauri wangu! KUJISTUKIA NI UGONJWA WA AKILI MBAYA SANA! Waache waseme, watakuteta watatu au wanne lakini kumi watakuombea mafanikio! ViMANENO HAVIEPUKIKI NDUGU NDO JAMII YETU JIKUBALI
Uzuri jumuiya wakigundua maisha magumu hata michango utachanga KWA uwezo wako mpndwa!
1. Jikubali nyumba ya Kobe ni mgongo wake.
2. Masengenyo iwe motisha tambua kesho INA heli na nawe
3. Michango ya jumuiya haimfungi mtu jela toa KWA Moyo kadri ya uwezo
4. Fuata AMRI za kanisa lako maana ndiyo mkataba wa ushirika wako
5. Amini HAKUNA faida yoyote hata wakikusifia haiongezi kitu kwenye akaunti yako utabakia ni wewe ulivyo
6. Sali KWA imani yako
7. Shiriki kwa kuimarisha umoja
8. Hakuna asiyesemwa! Hata yesu walimchunguza kwao kuna zizi la ng'ombe wewe nani usichunguzwe ndugu!
SALI BHANA HAYO MENGINE NI KUTAFTA KUJIHALALISHIA UJINGA! ACHANA NAYO TAZAMA USO WA MUNGU! YA WANADAMU HAYAISHI
AMRI ZA KANISA LAKO ZINASEMAJE EBU TUTAJIE tuchambue kutoka kwenye mkataba wako na kanisa ambazo ni AMRI ZA KANISA!
Kingine nikushauri jifunze kupuuzia maneno! Wakati mwingi maneno huwa hayana maana kwa anayeyapuuza!
Waaache wachunguze wewe sali na imani yako jali maisha yako! Kama unalala chini pouw tu kwani nini, kama ni fukara si ni fukara tu kwani uongo! Ujue wakati mwingine kujikubali na hali yako ni tiba!
Wewe ni masikini halafu unataka watu wakuone tajili kweli?
Mimi nilihamia kwangu ikiwa pagala yaani juu HAKUNA kenchi wala bati, na niliona poa tu amani tele na watu walifurahi sana kuja kwangu kuliko kwingine, vikao vingi vya jumuiya walipendekeza wakutanie kwangu wakati palikuwa pagala tupu, palikuwa pa kimaskini sana!
Kila baada ya sala waliomba Mungu anijalie nikamilishe ujenzi! BAADAE NEEMA Ilikuja pagala langu ndiyo miongoni mwa ghorofa na nyumba bora mtaani!
Ushauri wangu! KUJISTUKIA NI UGONJWA WA AKILI MBAYA SANA! Waache waseme, watakuteta watatu au wanne lakini kumi watakuombea mafanikio! ViMANENO HAVIEPUKIKI NDUGU NDO JAMII YETU JIKUBALI
Uzuri jumuiya wakigundua maisha magumu hata michango utachanga KWA uwezo wako mpndwa!
1. Jikubali nyumba ya Kobe ni mgongo wake.
2. Masengenyo iwe motisha tambua kesho INA heli na nawe
3. Michango ya jumuiya haimfungi mtu jela toa KWA Moyo kadri ya uwezo
4. Fuata AMRI za kanisa lako maana ndiyo mkataba wa ushirika wako
5. Amini HAKUNA faida yoyote hata wakikusifia haiongezi kitu kwenye akaunti yako utabakia ni wewe ulivyo
6. Sali KWA imani yako
7. Shiriki kwa kuimarisha umoja
8. Hakuna asiyesemwa! Hata yesu walimchunguza kwao kuna zizi la ng'ombe wewe nani usichunguzwe ndugu!
SALI BHANA HAYO MENGINE NI KUTAFTA KUJIHALALISHIA UJINGA! ACHANA NAYO TAZAMA USO WA MUNGU! YA WANADAMU HAYAISHI