Elias K
JF-Expert Member
- Oct 9, 2021
- 213
- 607
Wakuu habari za muda huu!
Baada ya kukaa nyumbani muda mrefu nikifanya kilimo cha kutegemea mvua, mwaka huu kilimo kimeniangusha sana na hata miaka iliyopita mara zote mavuno yalikuwa tofauti na matarajio hivyo nimeamua kuachana na kilimo kwani sioni hatima ya maisha yangu ikiwa tofauti na ya sasa. Unakuta mwaka wenye unafuu katika mavuno napata 160,000 nikiuza ( jasho la mwaka mzima ndiyo hilo).
Nimewaza nikaamua niende mjini nikajitume huwenda mambo yakawa nafuu baadaye.
Naomba ushauri wa mkoa mzuri wa kuanzia maisha from Zero. nina mtaji wa 200,000 na ni tofauti na nauli endapo nitapata uelekeo wa kwenda.
Pia naomba mchanganuo kwa mtaji huu naweza kufanya biashara gani japo sina uzoefu wa kufanya biashara yeyote au kwa mwenye kazi za kutumia nguvu naomba anipe. Tafadhali naombeni Msaada kwa hili na ahsanteni.
Baada ya kukaa nyumbani muda mrefu nikifanya kilimo cha kutegemea mvua, mwaka huu kilimo kimeniangusha sana na hata miaka iliyopita mara zote mavuno yalikuwa tofauti na matarajio hivyo nimeamua kuachana na kilimo kwani sioni hatima ya maisha yangu ikiwa tofauti na ya sasa. Unakuta mwaka wenye unafuu katika mavuno napata 160,000 nikiuza ( jasho la mwaka mzima ndiyo hilo).
Nimewaza nikaamua niende mjini nikajitume huwenda mambo yakawa nafuu baadaye.
Naomba ushauri wa mkoa mzuri wa kuanzia maisha from Zero. nina mtaji wa 200,000 na ni tofauti na nauli endapo nitapata uelekeo wa kwenda.
Pia naomba mchanganuo kwa mtaji huu naweza kufanya biashara gani japo sina uzoefu wa kufanya biashara yeyote au kwa mwenye kazi za kutumia nguvu naomba anipe. Tafadhali naombeni Msaada kwa hili na ahsanteni.