Ni Movie ipi uli iangalia zaidi ya mara moja ila bado hukuielewa vizuri?

Ni Movie ipi uli iangalia zaidi ya mara moja ila bado hukuielewa vizuri?

dosho12

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2023
Posts
596
Reaction score
1,475
Ni movie ipi ambayo uliichukua ukaingalia mara ya kwanza hukuielewa ukarudia mara ya pili ndo ukaelewa, au pengine hata mara ya pili pia hukuelewa ikabidi ulizie kwa watu waliyo iona wakueleweshe.

Mimi zipo mbili, moja ni 1. TENET niliangalia mara mbili ndo nikaanza kuelewa kidogo
2.

Mbili ni MEMENTO, hii movie inachanganya matukio yamechanganywa usipokuwa makini huwezi kuelewa
 
Serbian film, the human centipede na 100 days of sodomy ni risk sana kuzitazama. Watch for ur own risk. Ni filamu zilizopigwa marufuku nchi nyingi duniani . Na zimewekwa kwenye category ya EXIPERIMENTAL FILMS. Haswa hiyo serbian film na 100 days.
 
Serbian film, the human centipede na 100 days of sodomy ni risk sana kuzitazama. Watch for ur own risk. Ni filamu zilizopigwa marufuku nchi nyingi duniani . Na zimewekwa kwenye category ya EXIPERIMENTAL FILMS. Haswa hiyo serbian film na 100 days.
Hii Serbian ndo ile inapicha za utupu? Au niliangalia Serbian gani hiyo?
 
Hii movie juzi nliishia kucheka tu baada ya kujijua nishapoteza MB zangu. Mana pamoja na kukodoa mijicho sina nilichoambulia. Sijui wanacheza game ya kuazimana body, huyu anaingia kwenye body ya huyu. Mara wawili wakafa. Mara sijui wamesalitiana mmoja hataki kurudi mwenye mwili wake tena. Alimuraad nliona chengachenga tu
 

Attachments

  • Screenshot_20241114_205904_Netflix.jpg
    Screenshot_20241114_205904_Netflix.jpg
    178 KB · Views: 8
Alietengeneza movie ya Tenet ndo yule yule alifanya batman za mwaka 2005 nazo ndo vile vile usipokuwa makini hauelewi
 
Hii movie juzi nliishia kucheka tu baada ya kujijua nishapoteza MB zangu. Mana pamoja na kukodoa mijicho sina nilichoambulia. Sijui wanacheza game ya kuazimana body, huyu anaingia kwenye body ya huyu. Mara wawili wakafa. Mara sijui wamesalitiana mmoja hataki kurudi mwenye mwili wake tena. Alimuraad nliona chengachenga tu
Hii ndo movie naitaka kwa usiku huu niichukue niichek,
 
Ni movie ipi ambayo uliichukua ukaingalia mara ya kwanza hukuielewa ukarudia mara ya pili ndo ukaelewa, au pengine hata mara ya pili pia hukuelewa ikabidi ulizie kwa watu waliyo iona wakueleweshe.

Mimi zipo mbili, moja ni 1. TENET niliangalia mara mbili ndo nikaanza kuelewa kidogo
2.

Mbili ni MEMENTO, hii movie inachanganya matukio yamechanganywa usipokuwa makini huwezi kuelewa
The substance 2024
 
Back
Top Bottom