Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
Lost
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahh wapi movie za namna hiyo ndo nazielewa Tena uzicheck nyakati za usiku usiku, 😁Icheki kichwa kikuume 🤣🤣🤣
Hii sio thriller ivo, wala horrorAhh wapi movie za namna hiyo ndo nazielewa Tena uzicheck nyakati za usiku usiku, 😁
Sawa itakuwa na maadhari ya Fantasy na n.kHii sio thriller ivo, wala horror
Ila inataka umakini kuielewa
Me nikidownload movie kwa mb zangu nikakuta movie ni mbaya sikatishi njiani naingalia kwa kupeleka mbele mpaka iisheHii movie juzi nliishia kucheka tu baada ya kujijua nishapoteza MB zangu. Mana pamoja na kukodoa mijicho sina nilichoambulia. Sijui wanacheza game ya kuazimana body, huyu anaingia kwenye body ya huyu. Mara wawili wakafa. Mara sijui wamesalitiana mmoja hataki kurudi mwenye mwili wake tena. Alimuraad nliona chengachenga tu
Hii sijawahi kuielewagaNikipata movie kama za namna hii itakuwa Bora sana View attachment 3152454
Naipata hiyo ndo vitu vyake Christopher Nolan sijui Huwa anafikilia Nini huyu mtuAna nyingine ya kitambo kdgo mwaja 2000 inaitwa memento hyo ndo haileweki
Na mie pia nilifanya hivyo. Lkn aahh nliambulia maumivu.Me nikidownload movie kwa mb zangu nikakuta movie ni mbaya sikatishi njiani naingalia kwa kupeleka mbele mpaka iishe
Noma sanaIla jamaa anajua movie yake ninayoikubali sana ni Interstelar
nilipoona Zile nywele za chini za yule mrembo zilinivuruga kabisa nikakosa umakini na movie 😄🤣Mkuu hujaelewa wapi, au yule mrembo alietoka kwa yule mama mgongoni,
Kuna movie Huwa zinaandikwa mpaka unajiuliza Hawa watu walikuwa wanakusudia Nini, 😁nilipoona Zile nywele za chini za yule mrembo zilinivuruga kabisa nikakosa umakini na movie 😄
Series kama black sails unajiuliza lengo la waandaaji kuweka scenes za utupu lilikua ni nini..!! kuna mda hadi umakini unakata kabisa kazi kubwa inakua ni kuforward na kutafuta hizo scene😄Kuna movie Huwa zinaandikwa mpaka unajiuliza Hawa watu walikuwa wanakusudia Nini, 😁
Aisee🤣Series kama black sails unajiuliza lengo la waandaaji kuweka scenes za utupu lilikua ni nini..!! kuna mda hadi umakini unakata kabisa kazi kubwa inakua ni kuforward na kutafuta hizo scene😄