Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Hivi 'MIDABANGULO' ni mchekeshaji au ni mtukanaji?Binafsi, kuna huyu wa kujiita Shafii Comedy. In short hakuna anachofurahisha. Ni kama alilazimusha tu kuwepo huko, na watu ambao wameamua kumpiga tafu tu, Hakuna kitu kabisa aisee
View attachment 3188397
Kwako ni yupi unaona kabisa hamna kazi
Waburudishaji ndio wanaoondoa stress, wanasaikolojia wanatibu magonjwa ya akili, stress sio ugonjwa wa akili.Kama una stress nenda kwa wanasaikolojia, kucheka inabidi akili iwe imerelax
wengi wao nikiwaangalia nawaona kama hamnazo...njaa tu ndo inawasumbuaπ₯²π₯²Kwanza nawashangaa mnapata wapi muda wa kuyaangalia, mi hata nikikutana nao fb huwa naslide next real,
To be comedian you have to be genius and psychic at the same time, bongo mtu akichekesha kijiweni kwao basi anataka awe comedian kwa wote bila kujuwa mazingira, level ya elimu, hobby za watu zinatofautiana.
You have to be genius to get them all
Ni ngono na body shaming tu baas hamna la maana sizielewagi kabisa,,,,,,comedy unakuta wachekeshaji ndo wanacheka zaidi kuliko wanaochekeshwaLabda niko nyuma ya wakati ila kwa nilizobahatisha kuona asilimia 90 wanaongea maudhui ya ngono ngono tu⦠aibu sana. Wanapaswa wafikiri beyond that
Steve mweusi anajichekelesha mwenyewe TUPunguza hizo stress za madeni uone kama hatakuchekesha
π―π―π―Ndaro na yule mwenzake mweusiβ¦
Billnass??Mi sio mtu wa stand up commedyβ¦.napenda uigzaji wa Nenga
Kazi ganiWaacheni vijana wachape kazi.
Mkojani hamna kitumkojani sihawahi muelewa kabisa
ππππ Nanga mzinguaji sana, jamaa nilikua namkubali toka kipindi kile wana kundi lao wachache tu.Namkubali sana nanga aiseee
Leonardo idea zimeisha japo ana wateja wake pia.Wengi tu hata yule superstar wenu leonardo sijui.
Au labda kitufe changu cha kucheka kimeharibika.
Nanga yule bongeBillnass??
Kundi lao kuna Mussa.. wakusmata na mwingine yule ..ππππ Nanga mzinguaji sana, jamaa nilikua namkubali toka kipindi kile wana kundi lao wachache tu.
Walikua na content sana
Kuchekesha ni kazi pia.Kazi gani
Yaah kipindi kile serious funnyK
Kundi lao kuna Mussa.. wakusmata na mwingine yule ..
Mbona mpaka sasa wapo poa au ulikua unamaanisha kipindi kile wanajiita serious funny wapo na kina maczube
Hawachekeshi sasaKuchekesha ni kazi pia.