Ni msanii gani wa Comedy unaona kabisa hamnaga kazi ila ndo hivyo tu

Stand comedy is the hardest Job ever
 
Kuna kujichekelesha kwa mkumbo pia, Waswahili ukiwa na wenzako unaweza kuwa unacheka cheka hovyo tu vitu ambavyo hata havichekeshi.
 
Comedians Hawa hawajui kuchekesha (kwa mujibu wangu), nimewafollow ili niwacheke wasivojua kuchekesha

@shafii_comedian
Mr mwanya
Mr navy og
Chenjeu
neila (Cheka tu)poor presentation
mzee shayo
Mama chanja
asma_comedian
headmaster
ganslay

Hawa wote ni wavivu wa kulima

To be Continued
 
Ganslay kama huwa namwelewa kiasi
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…