Ni mstari gani kwenye biblia unautumia sana upitiapo nyakati ngumu katika Maisha

Zaburi 23.
 
2 Wafalme 4:34-35

34. Ndipo akajilaza juu ya mtoto, mdomo wake juu ya mdomo wa mtoto, na macho yake juu ya macho ya mtoto na mikono yake juu ya mikono ya mtoto. Na alipokuwa amekaa hivyo, mwili wa mtoto ukaanza kupata joto.

35. Elisha akasimama na kutembeatembea chumbani, kisha akarudi na kujilaza tena juu ya mtoto. Mtoto akapiga chafya mara saba, halafu akafungua macho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…