kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
sasa si unaona, yaani Mungu anakasirishwa na kitu alichoruhusu mwenyewe, labda kama anafanya hivyo makusudi ili apate watu wa kuchoma milele....Mambo ya Kibiolojia:Utafiti unapendekeza kwamba kunaweza kuwa na sababu za kibayolojia zinazoathiri mwelekeo wa ngono. Baadhi ya tafiti zimegundua athari za kijeni na homoni kwenye mwelekeo wa ngono, lakini hakuna "jini la mashoga" maalum ambalo limetambuliwa...
Wewe endelea kujitia kichwa ngumu ukae kimya kwa kutulia kidume kije nyumbani kwako kumposa mtoto wako wa kiume, pokea posa kwa roho safi kabisa ikibidi kuwe na sherehe ukumbinisasa si unaona, yaani Mungu anakasirishwa na kitu alichoruhusu mwenyewe, labda kama anafanya hivyo makusudi ili apate watu wa kuchoma milele....
Tutafika mbona, ila bado sana.Wewe endelea kujitia kichwa ngumu ukae kimya kwa kutulia kidume kije nyumbani kwako kumposa mtoto wako wa kiume, pokea posa kwa roho safi kabisa ikibidi kuwe na sherehe ukumbini
unataka kupinga na viongozi wakoDini imebakizwa kwajili yetu waafrika yafaa viongozi wake wawe waafrika.
Huko kwa wazungu wengi wamezikimbia dini, kanisani kwenda huwa ni wazee, hata rais anaenda mara moja moja matukio maalum sio kama huku Afrika karibu kila mwezi lazima rais aende, vijana nao utawakuta na biblia mikononi siku ya jumapili, hali ni tofauti sana kwa wazungu ambao kwa vijana kanisani ni kwenye kuoana na kuzikana pekee
Wazungu kwa sasa hali ya maisha yao inaafikiana na maagizo ya Mungu na yeyote anaediriki kupinga mtindo wa maisha yao anaonekana muovu huko nchi zao, mfano mashoga na wasagaji na watu wanaobadili jinsia wanalindwa mnooo, yani ukidiriki kuwakashifu waweza onekana zaidi ya gaidi, mambo ya sex education yanaruhusiwa hata kwa watoto ikiwemo kuwafundisha kujiridhisha kwa mikono, watoto wana maamuzi ya kuamua kubadili jinsia na ole wako mzazi umpinge, mzazi huruhusiwi kumchapa mwanao hata kwa kanga.
Nachoona hii dini kwa wenzetu ishaingizwa zaidi na utamaduni wao, na ndio maana hata papa huwa anaogopa kuzungumzia mambo flani ama nae tayari yumo humo anatetea.
Ilianza kidogo kidogo papa anakaa meza moja na wanaume wanaoingiliana wanaotaka kuwa wakristo huku bila kuacha hio tabia ya kupekechana wanaume kwa wanaume, Panya ukimpa siagi atahitaji na maziwa !! leo hii ni ruksa kwa wanaume wanaoingiliana kingono kunatizwa na kuwa wazazi watakatifu, kifuatacho ni wao kudai haki za kupewa nafasi za uongozi waingize zaidi mambo yao kwa kizazi kibichi cha kuanzia 2010, mambo haya yote hatuwezi kumlaumu papa pekee bali ni mfumo wa maisha ya wazungu ambao wengi walishaachana na mambo ya dini ila dini imebaki kupush ajenda za utamaduni wao duniani, waathirika wakubwa wanakuwa waafrika ambao wapo mstari wa mbele kwenye kufuata misingi ya dini ya kikatoliki.
Ni wakati sasa wa dini hii iongozwe na sisi waafrika tunaoiwekea bidii zaidi
nadhani muhimu kwao ni awe Mkristu Mkatoliki tu. Sidhani kama suala la kuzingatia rangi lina maana auu lina manuafaa yoyote.Dini imebakizwa kwajili yetu waafrika yafaa viongozi wake wawe waafrika.
Huko kwa wazungu wengi wamezikimbia dini, kanisani kwenda huwa ni wazee, hata rais anaenda mara moja moja matukio maalum sio kama huku Afrika karibu kila mwezi lazima rais aende, vijana nao utawakuta na biblia mikononi siku ya jumapili, hali ni tofauti sana kwa wazungu ambao kwa vijana kanisani ni kwenye kuoana na kuzikana pekee
Wazungu kwa sasa hali ya maisha yao inaafikiana na maagizo ya Mungu na yeyote anaediriki kupinga mtindo wa maisha yao anaonekana muovu huko nchi zao, mfano mashoga na wasagaji na watu wanaobadili jinsia wanalindwa mnooo, yani ukidiriki kuwakashifu waweza onekana zaidi ya gaidi, mambo ya sex education yanaruhusiwa hata kwa watoto ikiwemo kuwafundisha kujiridhisha kwa mikono, watoto wana maamuzi ya kuamua kubadili jinsia na ole wako mzazi umpinge, mzazi huruhusiwi kumchapa mwanao hata kwa kanga.
Nachoona hii dini kwa wenzetu ishaingizwa zaidi na utamaduni wao, na ndio maana hata papa huwa anaogopa kuzungumzia mambo flani ama nae tayari yumo humo anatetea.
Ilianza kidogo kidogo papa anakaa meza moja na wanaume wanaoingiliana wanaotaka kuwa wakristo huku bila kuacha hio tabia ya kupekechana wanaume kwa wanaume, Panya ukimpa siagi atahitaji na maziwa !! leo hii ni ruksa kwa wanaume wanaoingiliana kingono kunatizwa na kuwa wazazi watakatifu, kifuatacho ni wao kudai haki za kupewa nafasi za uongozi waingize zaidi mambo yao kwa kizazi kibichi cha kuanzia 2010, mambo haya yote hatuwezi kumlaumu papa pekee bali ni mfumo wa maisha ya wazungu ambao wengi walishaachana na mambo ya dini ila dini imebaki kupush ajenda za utamaduni wao duniani, waathirika wakubwa wanakuwa waafrika ambao wapo mstari wa mbele kwenye kufuata misingi ya dini ya kikatoliki.
Ni wakati sasa wa dini hii iongozwe na sisi waafrika tunaoiwekea bidii zaidi
Mi nimemaliza yeye ndo kaanza
Boresheni Imani yenu acha upuuzi hata hujiulizi wazungu wakristo kuhiji Uzunguni ,Waarabu Uislam kuhiji Uarabuni,Wahindi Hindu kuhiji India Wewe Muafrika eti kuhiji mpaka Uende Uzunguni,Uarabuni na India yaani hujiongezi tu? Nenda kasalimie kwenu December Waafrika huenda kwenye mizimu yao na Mungu wa Muafrika anafanya vitu mpaka sasa wala haitaji kitabu kumthibitisha kama hao wanathibitisha mungu wao kwa kusoma stori zilizopita .Acha utumwa wewe Mtu mweusiDini imebakizwa kwajili yetu waafrika yafaa viongozi wake wawe waafrika.
Huko kwa wazungu wengi wamezikimbia dini, kanisani kwenda huwa ni wazee, hata rais anaenda mara moja moja matukio maalum sio kama huku Afrika karibu kila mwezi lazima rais aende, vijana nao utawakuta na biblia mikononi siku ya jumapili, hali ni tofauti sana kwa wazungu ambao kwa vijana kanisani ni kwenye kuoana na kuzikana pekee
Wazungu kwa sasa hali ya maisha yao inaafikiana na maagizo ya Mungu na yeyote anaediriki kupinga mtindo wa maisha yao anaonekana muovu huko nchi zao, mfano mashoga na wasagaji na watu wanaobadili jinsia wanalindwa mnooo, yani ukidiriki kuwakashifu waweza onekana zaidi ya gaidi, mambo ya sex education yanaruhusiwa hata kwa watoto ikiwemo kuwafundisha kujiridhisha kwa mikono, watoto wana maamuzi ya kuamua kubadili jinsia na ole wako mzazi umpinge, mzazi huruhusiwi kumchapa mwanao hata kwa kanga.
Nachoona hii dini kwa wenzetu ishaingizwa zaidi na utamaduni wao, na ndio maana hata papa huwa anaogopa kuzungumzia mambo flani ama nae tayari yumo humo anatetea.
Ilianza kidogo kidogo papa anakaa meza moja na wanaume wanaoingiliana wanaotaka kuwa wakristo huku bila kuacha hio tabia ya kupekechana wanaume kwa wanaume, Panya ukimpa siagi atahitaji na maziwa !! leo hii ni ruksa kwa wanaume wanaoingiliana kingono kunatizwa na kuwa wazazi watakatifu, kifuatacho ni wao kudai haki za kupewa nafasi za uongozi waingize zaidi mambo yao kwa kizazi kibichi cha kuanzia 2010, mambo haya yote hatuwezi kumlaumu papa pekee bali ni mfumo wa maisha ya wazungu ambao wengi walishaachana na mambo ya dini ila dini imebaki kupush ajenda za utamaduni wao duniani, waathirika wakubwa wanakuwa waafrika ambao wapo mstari wa mbele kwenye kufuata misingi ya dini ya kikatoliki.
Ni wakati sasa wa dini hii iongozwe na sisi waafrika tunaoiwekea bidii zaidi
Fika Makanisa ya Africa KusiniInawezekana kama Mungu akiingilia kati. Ila makanisa ya Afrika yameshituka, hayafuati utamaduni mbaya wa kizungu. Mambo ya ushoga wazungu wabaki nayo hukohuko kwao
Hiyo mara 1000, unayozungumia. Unapima kwa kutumia kigezo gani?( Kwasababu, sijawahi kusikia dini zetu zimefufua watu)Kwanini tuongoze dini za kufikia kwani zetu zina shida gani? Zina mapungufu gani?
Bado naona dini zetu ni bora na imara zaidi mara 1000 kuliko hizo dini zingineView attachment 2821842
Sent using Jamii Forums mobile app
Afrika kusini huwa inajiona iko ulaya. Makanisa ya huko mtanzania akisali atashangaa sana. Ukiona praise and worship team wanavyovaa ni aibu tupu. Hata bongo wameanza kuiga hasa makanisa ya dar wanachefua kwa kweliFika Makanisa ya Africa Kusini
Waafrika wote sio wabantu kuna nilotics,cha msingi ni kuachana nao na kuanzisha African Catholic (AC) badala ya Roman Catholic(RC).Tangu Papa watoke nje ya Roma Kanisa Katolic inazidi kupotoka.You are right brother.
BANTU UNION is our religion.
Kwakuwa hujawahi kufuatilia shuhuda zakeHiyo mara 1000, unayozungumia. Unapima kwa kutumia kigezo gani?( Kwasababu, sijawahi kusikia dini zetu zimefufua watu)
. Na wakati dini ya YESU imefanya hivyo mara nyingi.
Kama Hilo ni tatizo la kibailojia basi biblia au msaafu ingelitambuaMambo ya Kibiolojia:Utafiti unapendekeza kwamba kunaweza kuwa na sababu za kibayolojia zinazoathiri mwelekeo wa ngono. Baadhi ya tafiti zimegundua athari za kijeni na homoni kwenye mwelekeo wa ngono, lakini hakuna "jini la mashoga" maalum ambalo limetambuliwa.
Athari za Homoni:Athari za homoni kabla ya kuzaa wakati wa ukuaji wa fetasi zimedhaniwa kuwa na jukumu katika mwelekeo wa ngono. Hata hivyo, taratibu sahihi hazieleweki kikamilifu.
Sababu za Kinasaba:Ingawa kuna uthibitisho kwamba chembe za urithi zinaweza kuchangia mwelekeo wa ngono, kuna uwezekano kwamba mchanganyiko wa mambo ya kijeni, homoni, na mazingira unahusika. Ni mwingiliano changamano badala ya kipengele kimoja cha kubainisha.
:Sababu za kijamii na mazingira pia zinaweza kuwa na jukumu. Watafiti wengine wanapendekeza kwamba uzoefu wa utotoni, mienendo ya familia, na mazingira ya kijamii yanaweza kuchangia ukuzaji wa mwelekeo wa ngono. Walakini, mambo haya hayazingatiwi kuwa ya kuamua.
Utambulisho Usiochaguliwa:Muhimu zaidi, maoni yaliyopo kati ya mashirika makubwa ya matibabu na afya ya akili ni kwamba mwelekeo wa ngono sio chaguo. Watu binafsi hawachagui kuwa mashoga, wasagaji, wapenzi wa jinsia mbili au wa jinsia tofauti. Ni kipengele cha msingi cha utambulisho wao.
Utofauti wa Uzoefu: Ni muhimu kutambua utofauti wa uzoefu ndani ya jumuiya ya LGBTQ+. Hakuna simulizi moja, na uzoefu wa mtu binafsi wa kuelewa mwelekeo wa kijinsia unaweza kutofautiana sana.
Kwa hapa Tanzania, tumejikita kwenye sababu za kijamii na mazingira, mfano mtoto anaanza kupigwa miti akiwa shule, au hawa bongo fleva anapigwa miti ili apate hela za kurekodi, na baadae anaendelea na mchezo mpaka anzoea na yeye anakuwa anapiga miti wenzake.