Ni muda wa kanisa katoliki kuongozwa na waafrika wanaoongoza kwa waumini na imani kuliko wazungu wanaozidi kutoamini Mungu

Ni muda wa kanisa katoliki kuongozwa na waafrika wanaoongoza kwa waumini na imani kuliko wazungu wanaozidi kutoamini Mungu

Mambo ya Kibiolojia:Utafiti unapendekeza kwamba kunaweza kuwa na sababu za kibayolojia zinazoathiri mwelekeo wa ngono. Baadhi ya tafiti zimegundua athari za kijeni na homoni kwenye mwelekeo wa ngono, lakini hakuna "jini la mashoga" maalum ambalo limetambuliwa...
sasa si unaona, yaani Mungu anakasirishwa na kitu alichoruhusu mwenyewe, labda kama anafanya hivyo makusudi ili apate watu wa kuchoma milele....
 

Marko 10:31 BHN​

Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza.” ata injili inakili ilo hawa jamaa zamu yetu sasa kuwahubiria naona wengi wanakengeuka.No wonder idadi kubwa ya mapadre huenda uko ughaibuni I have 5 friends of mine US Autrali and German wanapiga injili
 
sasa si unaona, yaani Mungu anakasirishwa na kitu alichoruhusu mwenyewe, labda kama anafanya hivyo makusudi ili apate watu wa kuchoma milele....
Wewe endelea kujitia kichwa ngumu ukae kimya kwa kutulia kidume kije nyumbani kwako kumposa mtoto wako wa kiume, pokea posa kwa roho safi kabisa ikibidi kuwe na sherehe ukumbini
 
Dini imebakizwa kwajili yetu waafrika yafaa viongozi wake wawe waafrika.

Huko kwa wazungu wengi wamezikimbia dini, kanisani kwenda huwa ni wazee, hata rais anaenda mara moja moja matukio maalum sio kama huku Afrika karibu kila mwezi lazima rais aende, vijana nao utawakuta na biblia mikononi siku ya jumapili, hali ni tofauti sana kwa wazungu ambao kwa vijana kanisani ni kwenye kuoana na kuzikana pekee

Wazungu kwa sasa hali ya maisha yao inaafikiana na maagizo ya Mungu na yeyote anaediriki kupinga mtindo wa maisha yao anaonekana muovu huko nchi zao, mfano mashoga na wasagaji na watu wanaobadili jinsia wanalindwa mnooo, yani ukidiriki kuwakashifu waweza onekana zaidi ya gaidi, mambo ya sex education yanaruhusiwa hata kwa watoto ikiwemo kuwafundisha kujiridhisha kwa mikono, watoto wana maamuzi ya kuamua kubadili jinsia na ole wako mzazi umpinge, mzazi huruhusiwi kumchapa mwanao hata kwa kanga.


Nachoona hii dini kwa wenzetu ishaingizwa zaidi na utamaduni wao, na ndio maana hata papa huwa anaogopa kuzungumzia mambo flani ama nae tayari yumo humo anatetea.

Ilianza kidogo kidogo papa anakaa meza moja na wanaume wanaoingiliana wanaotaka kuwa wakristo huku bila kuacha hio tabia ya kupekechana wanaume kwa wanaume, Panya ukimpa siagi atahitaji na maziwa !! leo hii ni ruksa kwa wanaume wanaoingiliana kingono kunatizwa na kuwa wazazi watakatifu, kifuatacho ni wao kudai haki za kupewa nafasi za uongozi waingize zaidi mambo yao kwa kizazi kibichi cha kuanzia 2010, mambo haya yote hatuwezi kumlaumu papa pekee bali ni mfumo wa maisha ya wazungu ambao wengi walishaachana na mambo ya dini ila dini imebaki kupush ajenda za utamaduni wao duniani, waathirika wakubwa wanakuwa waafrika ambao wapo mstari wa mbele kwenye kufuata misingi ya dini ya kikatoliki.

Ni wakati sasa wa dini hii iongozwe na sisi waafrika tunaoiwekea bidii zaidi
unataka kupinga na viongozi wako
 
Dini imebakizwa kwajili yetu waafrika yafaa viongozi wake wawe waafrika.

Huko kwa wazungu wengi wamezikimbia dini, kanisani kwenda huwa ni wazee, hata rais anaenda mara moja moja matukio maalum sio kama huku Afrika karibu kila mwezi lazima rais aende, vijana nao utawakuta na biblia mikononi siku ya jumapili, hali ni tofauti sana kwa wazungu ambao kwa vijana kanisani ni kwenye kuoana na kuzikana pekee

Wazungu kwa sasa hali ya maisha yao inaafikiana na maagizo ya Mungu na yeyote anaediriki kupinga mtindo wa maisha yao anaonekana muovu huko nchi zao, mfano mashoga na wasagaji na watu wanaobadili jinsia wanalindwa mnooo, yani ukidiriki kuwakashifu waweza onekana zaidi ya gaidi, mambo ya sex education yanaruhusiwa hata kwa watoto ikiwemo kuwafundisha kujiridhisha kwa mikono, watoto wana maamuzi ya kuamua kubadili jinsia na ole wako mzazi umpinge, mzazi huruhusiwi kumchapa mwanao hata kwa kanga.


Nachoona hii dini kwa wenzetu ishaingizwa zaidi na utamaduni wao, na ndio maana hata papa huwa anaogopa kuzungumzia mambo flani ama nae tayari yumo humo anatetea.

Ilianza kidogo kidogo papa anakaa meza moja na wanaume wanaoingiliana wanaotaka kuwa wakristo huku bila kuacha hio tabia ya kupekechana wanaume kwa wanaume, Panya ukimpa siagi atahitaji na maziwa !! leo hii ni ruksa kwa wanaume wanaoingiliana kingono kunatizwa na kuwa wazazi watakatifu, kifuatacho ni wao kudai haki za kupewa nafasi za uongozi waingize zaidi mambo yao kwa kizazi kibichi cha kuanzia 2010, mambo haya yote hatuwezi kumlaumu papa pekee bali ni mfumo wa maisha ya wazungu ambao wengi walishaachana na mambo ya dini ila dini imebaki kupush ajenda za utamaduni wao duniani, waathirika wakubwa wanakuwa waafrika ambao wapo mstari wa mbele kwenye kufuata misingi ya dini ya kikatoliki.

Ni wakati sasa wa dini hii iongozwe na sisi waafrika tunaoiwekea bidii zaidi
nadhani muhimu kwao ni awe Mkristu Mkatoliki tu. Sidhani kama suala la kuzingatia rangi lina maana auu lina manuafaa yoyote.
 
Dini imebakizwa kwajili yetu waafrika yafaa viongozi wake wawe waafrika.

Huko kwa wazungu wengi wamezikimbia dini, kanisani kwenda huwa ni wazee, hata rais anaenda mara moja moja matukio maalum sio kama huku Afrika karibu kila mwezi lazima rais aende, vijana nao utawakuta na biblia mikononi siku ya jumapili, hali ni tofauti sana kwa wazungu ambao kwa vijana kanisani ni kwenye kuoana na kuzikana pekee

Wazungu kwa sasa hali ya maisha yao inaafikiana na maagizo ya Mungu na yeyote anaediriki kupinga mtindo wa maisha yao anaonekana muovu huko nchi zao, mfano mashoga na wasagaji na watu wanaobadili jinsia wanalindwa mnooo, yani ukidiriki kuwakashifu waweza onekana zaidi ya gaidi, mambo ya sex education yanaruhusiwa hata kwa watoto ikiwemo kuwafundisha kujiridhisha kwa mikono, watoto wana maamuzi ya kuamua kubadili jinsia na ole wako mzazi umpinge, mzazi huruhusiwi kumchapa mwanao hata kwa kanga.


Nachoona hii dini kwa wenzetu ishaingizwa zaidi na utamaduni wao, na ndio maana hata papa huwa anaogopa kuzungumzia mambo flani ama nae tayari yumo humo anatetea.

Ilianza kidogo kidogo papa anakaa meza moja na wanaume wanaoingiliana wanaotaka kuwa wakristo huku bila kuacha hio tabia ya kupekechana wanaume kwa wanaume, Panya ukimpa siagi atahitaji na maziwa !! leo hii ni ruksa kwa wanaume wanaoingiliana kingono kunatizwa na kuwa wazazi watakatifu, kifuatacho ni wao kudai haki za kupewa nafasi za uongozi waingize zaidi mambo yao kwa kizazi kibichi cha kuanzia 2010, mambo haya yote hatuwezi kumlaumu papa pekee bali ni mfumo wa maisha ya wazungu ambao wengi walishaachana na mambo ya dini ila dini imebaki kupush ajenda za utamaduni wao duniani, waathirika wakubwa wanakuwa waafrika ambao wapo mstari wa mbele kwenye kufuata misingi ya dini ya kikatoliki.

Ni wakati sasa wa dini hii iongozwe na sisi waafrika tunaoiwekea bidii zaidi
Boresheni Imani yenu acha upuuzi hata hujiulizi wazungu wakristo kuhiji Uzunguni ,Waarabu Uislam kuhiji Uarabuni,Wahindi Hindu kuhiji India Wewe Muafrika eti kuhiji mpaka Uende Uzunguni,Uarabuni na India yaani hujiongezi tu? Nenda kasalimie kwenu December Waafrika huenda kwenye mizimu yao na Mungu wa Muafrika anafanya vitu mpaka sasa wala haitaji kitabu kumthibitisha kama hao wanathibitisha mungu wao kwa kusoma stori zilizopita .Acha utumwa wewe Mtu mweusi
 
Inawezekana kama Mungu akiingilia kati. Ila makanisa ya Afrika yameshituka, hayafuati utamaduni mbaya wa kizungu. Mambo ya ushoga wazungu wabaki nayo hukohuko kwao
 
Africa shulenj walimu na viranja ni wanyampara wanaolazimisha wanafunzi kwenda vipindi vya dini!
 
Inawezekana kama Mungu akiingilia kati. Ila makanisa ya Afrika yameshituka, hayafuati utamaduni mbaya wa kizungu. Mambo ya ushoga wazungu wabaki nayo hukohuko kwao
Fika Makanisa ya Africa Kusini
 
Kwanini tuongoze dini za kufikia kwani zetu zina shida gani? Zina mapungufu gani?
Bado naona dini zetu ni bora na imara zaidi mara 1000 kuliko hizo dini zingineView attachment 2821842

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo mara 1000, unayozungumia. Unapima kwa kutumia kigezo gani?( Kwasababu, sijawahi kusikia dini zetu zimefufua watu)
. Na wakati dini ya YESU imefanya hivyo mara nyingi.
 
Fika Makanisa ya Africa Kusini
Afrika kusini huwa inajiona iko ulaya. Makanisa ya huko mtanzania akisali atashangaa sana. Ukiona praise and worship team wanavyovaa ni aibu tupu. Hata bongo wameanza kuiga hasa makanisa ya dar wanachefua kwa kweli
 
You are right brother.
BANTU UNION is our religion.
Waafrika wote sio wabantu kuna nilotics,cha msingi ni kuachana nao na kuanzisha African Catholic (AC) badala ya Roman Catholic(RC).Tangu Papa watoke nje ya Roma Kanisa Katolic inazidi kupotoka.
 
Mimi na muda sana siingii kanisani na hiyo ilikuja mwaka fln michango ikawa Hivi

Zawadi ya kuzaliwa mtoto yesu 10,000
Wawata(Kwa ajiri ya mke wangu) 50,000
Vitenge vya wawata35000

Mchango wa pesa ya mshumaa wa xmas500
Harambee ya kumpongeza baba paroko Kila muumini mkubwa 15,000

Mchango wa jumuiya Kwa ajri ya kununua msalaba (ulivunjika) 7000

Nilkuwa sija hudhuria jumuiya miezi 2 na Kila siku Huwa tukikutana tunatoa 1000 kama sadaka hivo 8000

Michango mingine nimesahau.Na hiyo ilkuwa ndani ya miezi 3 tu yaani 10_12 michango hiyo yote iwe imakamilika ndipo akri yangu ikang'amka na kutambua hii ni biashara kwenye dini tumetoka kabisa!

Mbaya zaidi Kuna muumini alifiwa wakasusia kuzika kuzika kisa hatoi michango ya jumuiya na kanisani kwahiyo hawatahusika duuh nikaona hizi dini tukae nazo pembeni kwanza!

Hili nalo ndo linanifanya niache kuami kabisa Dhehebu langu Rc Kwa namna hii kiongozi anaye aminika kuwa ni mtakatifu ana halalisha maovu na uchafu ambao hata nguruwe kamwe hajawahi fanya ! Inafikirisha sana.

Mtihani Bado upo Kwa wife ukimwambia achana na hizi anasema watu watanionaje acha tu niwe naenda!
 
Mambo ya Kibiolojia:Utafiti unapendekeza kwamba kunaweza kuwa na sababu za kibayolojia zinazoathiri mwelekeo wa ngono. Baadhi ya tafiti zimegundua athari za kijeni na homoni kwenye mwelekeo wa ngono, lakini hakuna "jini la mashoga" maalum ambalo limetambuliwa.

Athari za Homoni:Athari za homoni kabla ya kuzaa wakati wa ukuaji wa fetasi zimedhaniwa kuwa na jukumu katika mwelekeo wa ngono. Hata hivyo, taratibu sahihi hazieleweki kikamilifu.

Sababu za Kinasaba:Ingawa kuna uthibitisho kwamba chembe za urithi zinaweza kuchangia mwelekeo wa ngono, kuna uwezekano kwamba mchanganyiko wa mambo ya kijeni, homoni, na mazingira unahusika. Ni mwingiliano changamano badala ya kipengele kimoja cha kubainisha.

:Sababu za kijamii na mazingira pia zinaweza kuwa na jukumu. Watafiti wengine wanapendekeza kwamba uzoefu wa utotoni, mienendo ya familia, na mazingira ya kijamii yanaweza kuchangia ukuzaji wa mwelekeo wa ngono. Walakini, mambo haya hayazingatiwi kuwa ya kuamua.

Utambulisho Usiochaguliwa:Muhimu zaidi, maoni yaliyopo kati ya mashirika makubwa ya matibabu na afya ya akili ni kwamba mwelekeo wa ngono sio chaguo. Watu binafsi hawachagui kuwa mashoga, wasagaji, wapenzi wa jinsia mbili au wa jinsia tofauti. Ni kipengele cha msingi cha utambulisho wao.

Utofauti wa Uzoefu: Ni muhimu kutambua utofauti wa uzoefu ndani ya jumuiya ya LGBTQ+. Hakuna simulizi moja, na uzoefu wa mtu binafsi wa kuelewa mwelekeo wa kijinsia unaweza kutofautiana sana.

Kwa hapa Tanzania, tumejikita kwenye sababu za kijamii na mazingira, mfano mtoto anaanza kupigwa miti akiwa shule, au hawa bongo fleva anapigwa miti ili apate hela za kurekodi, na baadae anaendelea na mchezo mpaka anzoea na yeye anakuwa anapiga miti wenzake.
Kama Hilo ni tatizo la kibailojia basi biblia au msaafu ingelitambua
Kwanini viwete imewatambua ?
Achani kutetea na kuhalalisha upumbavu na usenge ulio kithiri shoga ni shoga tu Hana sababu ya kumfanya awe shoga iwe kibailojia au kijamii never ever

Watu kama wewe ni wakuangaliwa sana huenda umekodiwa
 
Back
Top Bottom