kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Wapi huko amefufuka mtu kutoka dini za kizunguHiyo mara 1000, unayozungumia. Unapima kwa kutumia kigezo gani?( Kwasababu, sijawahi kusikia dini zetu zimefufua watu)
. Na wakati dini ya YESU imefanya hivyo mara nyingi.
Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app