kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Wapi huko amefufuka mtu kutoka dini za kizunguHiyo mara 1000, unayozungumia. Unapima kwa kutumia kigezo gani?( Kwasababu, sijawahi kusikia dini zetu zimefufua watu)
. Na wakati dini ya YESU imefanya hivyo mara nyingi.
Kwanza mtuache.Kiufupi msitupangie wala kutuingilia mambo yetu.Wenye dini yao watakwambia "fumbo la imani" dini ya kwanza, haijadiliwi.
Ni nini sasa au ndio freemason tunaosikiaNani kakudanganya katoliki ina amini Mambo ya Mungu?
Dini imejificha kwenye kivuli cha Mungu kuwahadaa wajinga ila haiamini Mungu
Mashoga ni laanaNdo mkiishiwa hoja mnakuja na kejeli na jazba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hekima ya Mungu haichunguziki maana Hekima ya Mungu ni Utukufu wa Mungu mwenyewe kuficha mambo;Ndio maana tumefichwa vingi mfano kesho yangu na yako hakuna aijuaye isipokuwa Mungu tu ndio anajua,kifo hakuna ajuaye,n.k.1. Tunaiwekea bidii hiyo dini, imetupeleka wapi?
2. Hao mashoga, wasagaji na wanaobadili jinsia kama wanamchukiza Mungu sana, mbona anaruhusu uwepo wao?
haya ni maswali ya msingi unatakiwa ujiulize
Poleee na endelea kutesekaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shetani amejipenyeza tena kwenye hiki kizaziNa hii ya sasa imekujaje, ikiwa iliangamizwa kabisa hapo zamani?
Bas Mungu ataangamiza tena km zamani, binadamu kaeni kwa kutulia, sio kazi yenu.Shetani amejipenyeza tena kwenye hiki kizazi
Mbona kama hiyo ni bia?Kwanini tuongoze dini za kufikia kwani zetu zina shida gani? Zina mapungufu gani?
Bado naona dini zetu ni bora na imara zaidi mara 1000 kuliko hizo dini zingineView attachment 2821842
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakufuru!Hana uwezo huo
Kama ameweza thibitisha.Unakufuru!
Mmh mmh mmh id hii ni ya dume. Red flag[emoji23]Kama ameweza thibitisha.
Ndio ukweli wenyewe huoSerikali yetu ni katili sana Hivi inataka tulipe kodi kweli ?Wakati sisi ni machinga wadogo.
Hivi kwanini serikali haitupi hela inasema tufanye kazi.
Unajua Rais samia ana roho mbaya sana anakaa ikulu na anatembelea prado wakati kuna mwananchi hana hata hela ya kula.
Hivi serikali yetu imewafunga maelfu ya watu magerezani.....Nahis hii serikali haipendi raia,
Nafikiri sasa tumeelewana