Ni muendelezo wa utapeli wa soka bongo pamba jiji na yanga matokeo yamekwisha pangwa..hakuna mpira...

Ni muendelezo wa utapeli wa soka bongo pamba jiji na yanga matokeo yamekwisha pangwa..hakuna mpira...

Kijili alivofunga bila shaka ulifirahia lile goli lilivofungwa Kwa ustadi
Shida ya watanzania ndio hii mtu anahalalisha dhambi kwa sababu akiona dhambi kipindi fulani.Tumekuwa wahalifu na wakosaji kwa sababu tumejizungushia mduara wenye makosa mengi sana.
 
Coast union wakiwa na mabeki kama Job na Bacca na Yao watakuwa mabingwa

Wakiwa na Aucho, Duke na Mudathir ubingwa lazima

Wakiwa na Chama, Aziz ki, Pacome na Max Nzengeli ubingwa lazima

Wakiwa na Mzize, Dube na Musonda coast union laZima awe bingwa
Bila Diarra
 
Ivi mechi kama ya leo wanapangaje matokeo? Wanawaambia wachezaji wafungishe? Au wasijitume? Na unaamini kabisa pamba yote kuanzia wachezaji ,viongozi, makocha ni mashabiki wa Yanga? Watakubali kuwaachia Yanga, hebu tueleze mkuu, matokeo yanapangwaje?
Leo kuna nini unachoona hakiwezi kupangwa kwenye huo mchezo kocha minziro ..msaidizi salvatory edward mkuu wa mkoa ni kima zee unataka nini kikuthibitishie!
 
Muendelezo wa utapeli wa yanga kupitia ramadhani kayoko mpira ulikwisha toka kuvuka mstari je bado unaamini kuna mechi za mpira au kuna utapeli kupitia marefa na vilabu!
Sawa. Lile moja linafutwa. Vipi kuhusu ule mkono wa nyani?
 

Attachments

  • Screenshot_20250223_112040_Chrome.jpg
    Screenshot_20250223_112040_Chrome.jpg
    364.3 KB · Views: 1
Kama ulivyokuwa utapeli wa singida,kmc,mashujaa na leo tunakwenda shuhudia muendelezo ule ule wa mfadhili mkuu wa yanga kwenda kuweka fedha yake kwa klabu anayoidhamini eti bonasi ni upuuzi na matusi makubwa kwa mpira wa bongo na muuendelezo wa kuwaona watanzania hawana uwelewa..ujinga tu ndio uliotawala...mkuu wa mkoa yule yule aliyevaa jezi ya yanga kwenda kuifanyia fujo Simba mazoezini na kumsweka ndani matola na ni mdau wa yanga leo anasimama mbele ya kamera kutoa mabaki ya sangara na ugali kuwa wametoa bonasi..ni mjinga tu na asiye na akili au mwendawazimu atakaye amini kutakuwa na mechi ya ushindani pamba atashinda na kutoa upinzani matokeo ya mechi yamekwisha pangwa yanga kuchukua point tatu!
Kuiba mitihani na rushwa ni jambo baya na lenye athar kubwa sana katika jamii. Ukoshiriki haya mambo kila kitu utaamini kwamba hakiwezekani mpaka njia za mkato (rushwa)
 
Yanga timu mbovu haina uwezo wa kuifunga hata malimao fc.
 
UNALALAMIKAJE SI NDO FURSA IYO YA KUBETI NA KUPIGA PESA
Kama ulivyokuwa utapeli wa singida,kmc,mashujaa na leo tunakwenda shuhudia muendelezo ule ule wa mfadhili mkuu wa yanga kwenda kuweka fedha yake kwa klabu anayoidhamini eti bonasi ni upuuzi na matusi makubwa kwa mpira wa bongo na muuendelezo wa kuwaona watanzania hawana uwelewa..ujinga tu ndio uliotawala...mkuu wa mkoa yule yule aliyevaa jezi ya yanga kwenda kuifanyia fujo Simba mazoezini na kumsweka ndani matola na ni mdau wa yanga leo anasimama mbele ya kamera kutoa mabaki ya sangara na ugali kuwa wametoa bonasi..ni mjinga tu na asiye na akili au mwendawazimu atakaye amini kutakuwa na mechi ya ushindani pamba atashinda na kutoa upinzani matokeo ya mechi yamekwisha pangwa yanga kuchukua point tatu!
 
G S M Msimu Ujao Atazuiwa Kuiharibu League Yetu
 
Ligi yenyewe haina tofauti na chaguzi zinazoendeshwa nchini. Kila kitu kinafuata maelekezo tu.
 
Back
Top Bottom