Ni mwana Simba SC mwenye roho mbaya na ya kichawi ndiyo hatolifurahia 'Classic Goal' la Stephane Aziz Ki

Ni mwana Simba SC mwenye roho mbaya na ya kichawi ndiyo hatolifurahia 'Classic Goal' la Stephane Aziz Ki

Kama mwana Simba SC ni Goli ambalo limeniuma kwani amesawazisha ila Kiuanamichezo na hasa nikiwa kama Mdau wa Soka GENTAMYCINE nisiwe Mnafiki na naomba niseme tu kuwa ni Goli zuri hakuna mfano kwani alijiseti vyema kabisa na Kunipigia 'Muwa' wa maana ulioenda kule kule anakotagia Mayai Ndege.

Sijui Simba SC yangu ( hasa Mwekezaji Mo Dewji ) alishindwa nini na wapi kumpata huyu Kiungo Mshambuliaji Raia kutoka nchini Burkina Faso Stephane Aziz K kwani kwa Kipaji chake na Uwezo wake angetua Simba SC na kukutana na Mafundi tupu akina Chama, Phiri na Okra nina uhakika hivi sasa tungekuwa tunasema mengine.

Hongereni Yanga SC kwa kuwa nae.
Mnajitekenya na kucheka wenyewe,mikia buana
 
Goli zuri sana ila ukiondoa goli alikua kapotea uwanjani. Okrah had a good game ila ubinafsi umefanya aonekane wa kawaida tu mwehu yule.


Ule Mgoli wa Aziz Ki ni mwana ukome
Alipotea uwanjani? Aziz Ki jana alionekana sana, acha ushabiki maandazi, Okrah ubinafsi mnaousema ni upi?? AZIZ KI alicreate chances za kutosha, kwa wanaojua Mpira jana game ilibidi Yanga waondoke na Ushindi wa magoli si chini ya 3.

Moloko, Mayele wemekosa magoli ya wazi, yaan wazi kabisa.

All in all, Simba walipa mashuti mawili tu yalilenga Goli.

1. OKRAH likawa Goli
2. Chama alipiga foul Diara akataka kudaka mpira ukamtoka na kuwa Kona..

Yanga walipiga mashuti yaliyolenga lango 6 na moja likiwa Goli. Sambamba na kukosa nafasi za wazi kabisa.

Huu uchambuzi wa kusema Okrah amecheza mpira ni kituko.
 
NBC wamesema kwa shuti hilo tu wanatoa mkopo kwa dhamana ya Hilo goli halijawai kufungwa Toka vyama vya siasa kuaziziwa
 
Kama mwana Simba SC ni Goli ambalo limeniuma kwani amesawazisha ila Kiuanamichezo na hasa nikiwa kama Mdau wa Soka GENTAMYCINE nisiwe Mnafiki na naomba niseme tu kuwa ni Goli zuri hakuna mfano kwani alijiseti vyema kabisa na Kunipigia 'Muwa' wa maana ulioenda kule kule anakotagia Mayai Ndege.

Sijui Simba SC yangu ( hasa Mwekezaji Mo Dewji ) alishindwa nini na wapi kumpata huyu Kiungo Mshambuliaji Raia kutoka nchini Burkina Faso Stephane Aziz K kwani kwa Kipaji chake na Uwezo wake angetua Simba SC na kukutana na Mafundi tupu akina Chama, Phiri na Okra nina uhakika hivi sasa tungekuwa tunasema mengine.

Hongereni Yanga SC kwa kuwa nae.
Sawa Utopolo umesikika.
Kila siku kuanzisha nyuzi za kuikandia Simba na bado wajiita mwana-simba!
 
kwa hiyo azizi ki kuifunga simba leo ndio kawa bora. tuambie kaonekana wapi zaidi ya lile goli. mbona hakuwavusha yanga kwenda group stage. kama unae chama ki wanini. acha kwenda na matukio kama upepo
Hajui lolote kuhusu football huyo, achana naye. Ni mzuri zaidi kwenye matusi na "kuchamba"
 
Kama mwana Simba SC ni Goli ambalo limeniuma kwani amesawazisha ila Kiuanamichezo na hasa nikiwa kama Mdau wa Soka GENTAMYCINE nisiwe Mnafiki na naomba niseme tu kuwa ni Goli zuri hakuna mfano kwani alijiseti vyema kabisa na Kunipigia 'Muwa' wa maana ulioenda kule kule anakotagia Mayai Ndege.

Sijui Simba SC yangu ( hasa Mwekezaji Mo Dewji ) alishindwa nini na wapi kumpata huyu Kiungo Mshambuliaji Raia kutoka nchini Burkina Faso Stephane Aziz K kwani kwa Kipaji chake na Uwezo wake angetua Simba SC na kukutana na Mafundi tupu akina Chama, Phiri na Okra nina uhakika hivi sasa tungekuwa tunasema mengine.

Hongereni Yanga SC kwa kuwa nae.
Nilikuamini sana, umeanza kunitia wasiwasi GENTAMYCINE.

Classic goal!!! Lipi? Utalinganisha hilo goli na goli la la kuuza mabeki watatukwa pamoja halafu kipa anakula tobo?
 
Nilikuamini sana, umeanza kunitia wasiwasi GENTAMYCINE.

Classic goal!!! Lipi? Utalinganisha hilo goli na goli la la kuuza mabeki watatukwa pamoja halafu kipa anakula tobo?
Unaongelea ushabiki sana na bila shaka haujawahi kucheza mpira kwasababu laiti ungekuwa umecheza mpira usingesema hivyo,kwa kulibeza goli la azizi k
 
Hivi Simba waliweka hata ukuta pale au walimuachia Ki ajimwambafai tu? Hii game tulikuwa tunafunga mahesabu kipindi cha kwanza.
Kungekuwa na ukuta umetanda vyema , Stephanie Aziz Ki asingefunga hlo goli, njia ilikuwa nyeupe kunyoka fito ya namna ile
 
Unaongelea ushabiki sana na bila shaka haujawahi kucheza mpira kwasababu laiti ungekuwa umecheza mpira usingesema hivyo,kwa kulibeza goli la azizi k
Yamefungwa na wengi, nothing new. Kona ya Kichuya utasemaje?
 
kwa hiyo azizi ki kuifunga simba leo ndio kawa bora. tuambie kaonekana wapi zaidi ya lile goli. mbona hakuwavusha yanga kwenda group stage. kama unae chama ki wanini. acha kwenda na matukio kama upepo
Kwani uko uwanjani anacheza mwenyewe.kwani ukikubali kua jamaa ni mzuri unapungukiwa nini?.tupunguze husuda zisizokua na maana.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kwani asist kwenye ngao ya jamii nani alitoa kamq sio aziz ki, mchezaji muhimu uamua mechi muhimu inapotokea ajafanya ivyo inakuwa ni bahati mbaya na ndo mpira sio kila mara utaamka vizuri
Kwa mtazamo wako ni kuwa mechi ya Jana Derby ya simba na yanga ilikuwa muhimu sana kwa yanga kuliko mechi ya marudiano dhidi ya al hillal na yanga..
Pole sana
 
Alipotea uwanjani? Aziz Ki jana alionekana sana, acha ushabiki maandazi, Okrah ubinafsi mnaousema ni upi?? AZIZ KI alicreate chances za kutosha, kwa wanaojua Mpira jana game ilibidi Yanga waondoke na Ushindi wa magoli si chini ya 3.

Moloko, Mayele wemekosa magoli ya wazi, yaan wazi kabisa.

All in all, Simba walipa mashuti mawili tu yalilenga Goli.

1. OKRAH likawa Goli
2. Chama alipiga foul Diara akataka kudaka mpira ukamtoka na kuwa Kona..

Yanga walipiga mashuti yaliyolenga lango 6 na moja likiwa Goli. Sambamba na kukosa nafasi za wazi kabisa.

Huu uchambuzi wa kusema Okrah amecheza mpira ni kituko.
Hahahaha kweli Uto hamna akili Haji alishadhihirisha hilo. Kwa hiyo jana mngeshinda 3-1.
 
Back
Top Bottom