Ni mwanamke gani humu JF unayemzimia zaidi?

Ni mwanamke gani humu JF unayemzimia zaidi?

umeanza lini madameB?

Hivi babu DC ndio uko hivi??
Nimekuhashukia na kukuhonga like kumbe umetangaza ndoa kwa Madame B?

Kongosho yaani pale nimefika.
mie nimemuhonga Moyo na Valve zake,
kasema niko peke yangu dunia hii.
kumbe tuko wengi?
Atantambua.


Hii sasa ni bhange nibangue.....

Shauri yenu...mtatoana macho kwa kugombania picha ya tuk tuk...

Ngoja nikapige umbeya wa kiutu uzima na Bibi yenu...

Babu DC!!
 
Utoto wangu umeuona wapi Babu?
mie mtu mzima mwenzako afu nakumudu 100%.
kama huamini muulize Asprin ananijua.

Of all the people, kipimo chako cha utu uzima ni Asprin,

Sitaki kugombana na mzee mwenzangu, ngoja nimtafute nimpe mabusara aache michezo na under 18!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
mmh, mie sitoani macho

ila umenishangaza, ujue mie kwa maneno tu.

Hii sasa ni bhange nibangue.....

Shauri yenu...mtatoana macho kwa kugombania picha ya tuk tuk...

Ngoja nikapige umbeya wa kiutu uzima na Bibi yenu...

Babu DC!!
 
Hii sasa ni bhange nibangue.....

Shauri yenu...mtatoana macho kwa kugombania picha ya tuk tuk...

Ngoja nikapige umbeya wa kiutu uzima na Bibi yenu...

Babu DC!!

.....nakufata huko huko kwa mzee mwenzi......
hadi kieleweke leo.
 
he he he, kila mtu na mnyonge wake.

Basi kuna mahali na mie nimetoka nduki leo, nilicheka sana nikakukumbuka.

Ujue wee ni mnyonge wangu? Wengine hawataniwi lol
nimekoma, utani kwa babu tu.

Ukome na wewe na ushankupe wako....

Hebu kamtibu zombie wako kwanza kabla hujaanza kuwaonea wanyonge tulikwishajistaafia!!

Babu DC!!
 
mkimaliza kugombana naondoka na babu yangu akalale.

Ahhhhhhh.......!!!!!!!! Kongosho,
yaani unaununulia Pop Corn ugomvi wetu?
Aasalaleeeeeee.......!!!!!!!!!!!!
Afu mshindi anapata..........
 
Last edited by a moderator:
Of all the people, kipimo chako cha utu uzima ni Asprin,

Sitaki kugombana na mzee mwenzangu, ngoja nimtafute nimpe mabusara aache michezo na under 18!!

Babu DC!!

Yeye ndie aliyenifanyia ukaguzi wa nje mpaka wa ndani.
amenichambua kila kiungo changu mithili ya uchambuliwapo mchele kutenganisha chuwa na mchele Babu DC.
 
Last edited by a moderator:
Yeye ndie aliyenifanyia ukaguzi wa nje mpaka wa ndani.
amenichambua kila kiungo changu mithili ya uchambuliwapo mchele kutenganisha chuwa na mchele Babu DC.


Naona humtakii mema,

Mvua 30 zinamsubiri....kucheza na minor ni sawa na kuonja sumu aina ya cyanide...

Nitamzuia hata kwa kutumia tinga tinga!

Babu DC!!
 
he he he, kila mtu na mnyonge wake.

Basi kuna mahali na mie nimetoka nduki leo, nilicheka sana nikakukumbuka.

Ujue wee ni mnyonge wangu? Wengine hawataniwi lol
nimekoma, utani kwa babu tu.

Umetia mpira kwapani??

Ndo maana mnataka kutunyanyasa sie wanyonge?

Hampati kitu...kisa cha kupasua aorta ukaacha pension yako ni nini?

Babu DC!!
 
Back
Top Bottom