Ni mwanamke gani humu JF unayemzimia zaidi?

Ni mwanamke gani humu JF unayemzimia zaidi?

Kelele sipunguzi Ng'oooooo.
Nami ni mtu mzima mwenye majanga yake.
Nahitaji liwazo hasa za type ya akina Kingunge......loh......
akina Diamond wasumbufu.


Kama unatafuta akina Kingunge si utafute ambao wana pumzi hata ya kukimbia mbio za mita 50 kama akina King Majuto?

Utovu tu wa nidhamu ndo unakusumbua??

Kakue kwanza wewe mtoto......!!

Babu DC!!
 
Hebu waulize hawa akina Kongosho na Madame B....

Sijui kwa nini hawana heshima kwa senior citizens....

Shauri yao, wanajitafutia laana bure!!

Babu DC!!
babu kuna mitoto laanakum hata ukiilaani unajichosha tu. Wapotezee hao, bhange ya leo ilikuwa mbichi afu changa.
 
Last edited by a moderator:
Halafu wewe Komando wangu mbona una roho mbaya kiasi hicho??

Kwa nini hii useful tip hukunirushia kabla sijastaafu??

Babu DC!!


kwani umestaafu mwili mzima jamani? Changamka, mjini hakuna wazee babu. Uje utembelee huku, ntakugawia nyati mmoja ama tembo ukafuge mjini.
 
tena babu alipaswa akugande. Si ana mashamba ya mahindi na mpunga jamani? Ama halimi tena?


Ni wewe umeandika hapa au kuna mtu kaiba password yako?

Halafu ujue kuwa nakuheshimu sana Komando wangu??

Babu DC!!

Retired Maj Gen DC (1947)
 
babu kuna mitoto laanakum hata ukiilaani unajichosha tu. Wapotezee hao, bhange ya leo ilikuwa mbichi afu changa.

Hapa umeongea mapoint kama Komando mwenyewe, King'asti,

Safi sana....

kwani umestaafu mwili mzima jamani? Changamka, mjini hakuna wazee babu. Uje utembelee huku, ntakugawia nyati mmoja ama tembo ukafuge mjini.

Hiyo akili uliyotumia hapo juu umeenda wapi tena??

Unataka kunambia na wewe unavutapo kidogo???

Tufwile bhanyambala....

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Kongosho ''Umuwache apumuwe'' mzee mzima Dark City!

Mbona kum follow follow hivyo?


Ni bhange kaka....

Watoto wa siku hizi full mzuka wa jani kwa kwenda mbele,

Si unaona kachoka tayari....

Hata ka Kongosho kalikuwa kanasumbuliwa na usingizi....kameshapigiwa bedside stories...

Kwisha habari yake...

Hata kale kambeya kakubwa ka Madame B kamelala..lol!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha, kidogo nipaliwe

dah, babu umefuzu utundu

unaanza kuchangamka kuliko madame B

Unataka tufanye kazi hadi siku ya mazishi yetu?

Wenzio tulishastaafu...twajilia pensheni...

Kijiti mnacho nyie...

Kimbizanani kwanza...!!

Babu DC!!
 
hebu nisaidie kudairekti hii movie

naona stering babu DC ananichenga, wakati mie msaidizi wa stering.

udairekta ni permanent role yangu. Imekuwaje umejigawiamo? Futa kauli tafadhali.
 
eti Erickb52 anataka kutunishiana msuli na ngosha C6 mwili huu umejengwa na sato na ugali wa muhogo, ndo ulomchengua mama kijacho, kijana chunga sana, unaweza usimalize mwaka asalaleeeee
Utaishia kunipiga mkwara tu na kuendelea kulea mimba yangu heheheheeeeeee charminglady nakupendaaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Hii thread itatufanya watu tupigane wenyewe kwa wenyewe, mode weka hii kitu kwenye recycle bin please!.:smile:
 
nyati mwenyewe niko hapa, nigawe basi kwa babu akanifuge.

kwani umestaafu mwili mzima jamani? Changamka, mjini hakuna wazee babu. Uje utembelee huku, ntakugawia nyati mmoja ama tembo ukafuge mjini.
 
Back
Top Bottom