Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe upo loyal?Me I just want a smart girl who is loyal and who isn't fat basi mengine tutajuana mbelekwambele.
🤣🤣🤣 Nimecheka kweli..daah🙌my wangu akiwa anamtafuta my wake 🥺
🤣🤣🤭Wewe upo loyal?
Ndio tena vile ambavyo hawezi imagine.Wewe upo loyal?
So huna mambo za ku cheat?Ndio tena vile ambavyo hawezi imagine.
Sina sijawahi ku cheat nakuaga in one relationship at a time .So huna mambo za ku cheat?
Hiyo ujanja sana kuongea sana hopefully huna mpango wa kufungua kanisaNapenda mwanamke anayependa kutabasamu sana na awe mjanja haswa kuongea sana na mcheshi .
Awe mtu dini ,ajistiri pia apende sana watu na ndugu zangu ...Asiwe na dharau kwa mtu yeyote ile wala kiburi
Biblia inasema utampata wa kufanana nae,
mpaka leo naletewaga copy za watu asee sijawahi
letewa copy yangu yule wa kufanana nae,najikaza tu lakini
Ogopa mwanamke asiyeomba hela, narudia tena muogope sana.Asieomba hela
Asante sana🥰salama kabisa namshukuru Mwenyezi
sifa unazo hongera, je upo single jeee?
kama upo double tulia huko huko usijichanganyeAsante sana🥰
Nipo double mie