Kungekua hakuna ban, mtoa post ningekupa bonge tusi. Ila kwakua nishakutukana kimoyomoyo nafsi yangu imeridhika. Tena nimetukana adi Yale matendo binadamu wanayofanya kutengeneza watoto.
 
Another piece of written whore's masturbation!!

Hakuna mbwa wanaonikera kama wanaotetea ushenzi na udhalimu kwa sababu tu wanatoka anakotoka Jiwe!!!
 
Pants on fire!!!!!!!!
 
Wewe sio serikali
Acha serikali ijitetee yenyewe..

Why walizuia wabunge kumtembelea hospitali?

Why matibabu pia walileta zengwe?
Kumfukuza ubunge je??

Hata polisi hutazama trends za matukio baada ya tukio kupata wahusika wa wa uhalifu..
Why watu walizuiwa kumuombea
Why watu walizuiwa kumtolea damu
Why watu walizuiwa kuvaa T shirt zenye jina lake
Why
Why
Why
 
Ladies and gentlemen, on behalf of the wise team society of Jf , allow me to declair this as the foolest and borgus fabricated publication by the head of fools which goes by name Bagura.

And from today, let the name Bagura represent the father of fools ever happened on earth.

And therefore, from today let his investigative publication be represented as Bagurian theory of nonsence investigation.

And this will be made as refference to all other nonsence investigators to come.

And those who agrees say, I..!
God bless you
 
Hujamwlewa huyu jamaa, anataka kutuaminisha waliompiga risasi ni alikua anawatetea maana walimlipa hela fulani tayari.

Hahahahaa, kuna saa bora kukaa kimya tu kuliko hoja kama hii JF.
Mkuu

Ni kichaa tu anaweza amini huo utetezi aliotoa...

One of the stupidest utetezi ever yaani.....

Nashangaa anauleta humu kwa watu wenye high level of education as if wanaweza believe that unbelievable nonsense!
 
Vp kuhusu cctv ndugu MATAGA?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Msicheze na mwenyezi Mungu; tangu enzi za manabi Mungu huwa hataniwi na hadhihakiwi....

Hii dhambi itatembea nanyi migogoni kwenu na itawatesa saana!! Ninyi na watoto wenu na vizazi chao...ni laana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…