Imewekwa hivyo Ili binadamu asiishi kama mnyama, binadamu anatakiwa kuongozwa na Sheria muda wote na Kila jambo analofanya anatakiwa kuongozwa na Sheria Ili asiishi kama mnyama, Sasa hili la mtu mzima kuhesabiwa kuanzia miaka 18 ni baada ya jamii iliyositaarabika kusoma uwezo wa kiumbe binadamu kuanza kujitambua kusimamia akili yake bila kutegemea akili ya mzazi au mlezi yaani level ya kufanya maamuzi yasiyomuumiza yeye au wengine na pia uwezo wake wa kujitegemea kupata mahitaji yake Sasa kwa wakati huo Sheria iliona miaka 18 inafaa ila Sasa Mimi nasema miaka iongezwe iwe 21 maana kwa muda huu miaka 21 ndo inaonekana mtoto kufaa kujitegemea na wazazi kuweza kujiondoa kumuhudumia, kuhusu hilo la nature kubadilika kwenye maumbile viumbe hai vyote vina ngazi za ukuaji na vyote vinamuda wake wa kuruhusu matumizi yake japo vingine tunalazimisha kuvitumia bado vibichi kwa vile havina pa kujitetea ndo binadamu kwa vile wao ndo watawala wakaona Ili wasitumike vibaya kama viumbe wengine waweke Sheria ya kulinda utoto wa vizazi vyao ndomaana mtu mzima atambulike kuanzia hiyo miaka 18 japo mimi napendekeza tusogeze 21, Sasa kwa wale wanaopenda kutumia vitu vibichi hadi kwa binadamu Sheria imewabana wajituni kutumia vitu vilivyokomaa.