Rogojin The Idiot
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 2,969
- 3,392
Wale wajumbe waliopiga kura walizingua tu. Hawakutakiwa kufanya yale yaliyofanyika. Ndio maana ilifia pale. Ili iwe katiba, ilitakiwa ije kwenye referendum. Wananchi ndio wangeamua. Walioandaa katiba wakawa wajuaji. Wakakutana na wajuaji wengine halafu kura za wananchi hazikupigwaKumbe haukuangalia bunge la katiba..?ilipigiwa kura na wajumbe na ilifail kupita ndo kukawepo rasimu ya katiba ya chenge,,
Ulikua bado hujazaliwa labda...
Mnakuja msumbua mama bure. Mchakato wa Katiba ilikuaje ukasitishwa? Ni nani alifanya uharibifu ule wa pesa? Amepata hukumu gani?
Mwacheni Mama nyie mjifikirie kwa nini mliharibu mchakato wa Katiba na pesa hamkurudisha. Majizi makubwa nyie. Sasa mnakosa pesa mnataka mje zipata tena kwenye Katiba.
Rejea vitimbi vya kupitisha katiba kenya,,sio suala tu la kudumbukiza rasimu ya warioba,,kuna process,,na kura inahusika,,Wale wajumbe waliopiga kura walizingua tu. Hawakutakiwa kufanya yale yaliyofanyika. Ndio maana ilifia pale. Ili iwe katiba, ilitakiwa ije kwenye referendum. Wananchi ndio wangeamua. Walioandaa katiba wakawa wajuaji. Wakakutana na wajuaji wengine halafu kura za wananchi hazikupigwa
Katiba mpya ianishe,mgawanyo wa madaraka,iwe kwa zamu,bara na visiwani,,vyeo vigawanwaje,,sio mtu anapata madaraka anaanza kubuni mbinu za kutawala milele.Tatizo katiba mpya ya nchi gani.???
Zanzibar ipo lakini Tanganyika haijulikani imeenda wapi ?? Sasa katiba ya serikali 3, Huyo atayezungumzia serikali ya Tanganyika ni nani ??
na serikali ya muungano haipo kwani ni Batili. Haikuridhiwa na Zanzibar tokea day one. MUUNGANO WOTE NI MATANGO PORI YA LAANATULLAHI NYERERE.
Iliyobaki Tunasubiri kurudishwa kwa kiti cha Zanzibar UN ambacho kipo lakini ulifanywa umafia na Waingereza kwa kushirikiana na Marekani , kukiwekea turubali. Mwelekeo wa kuvuliwa turubali ni mzuri.
Ni muda mchache tu mambo yatajipa.
Hapo ndipo mtakapojitafakari kurudisha Tanganyika na kuongea na Zanzibar kama wananchi wa nchi hizi watakubali kufanya muungano huo utakaoandika Katiba mpya
Ndio ile ya Warioba? Kizuri ni kuwa haijawahi kupigiwa kura ya wananchi kusema yes au no. Huko kwingine ni mbwembwe za uundaji wake na vita ya makundi maslahiRejea vitimbi vya kupitisha katiba kenya,,sio suala tu la kudumbukiza rasimu ya warioba,,kuna process,,na kura inahusika,,
Rasimu iliyopendekezwa ilipitishwa kwa kura,,ikabaki stage ya wananchi wote kuipigia kura,,
Sasa usidhani hiyo rasimu ilitupwa jalalani,,ipo
Kwani mchakato huo aliusimamia na kuuendesha nani mkuu, au kichwa chako hakina uwezo wa kuwaza hilo?Mnakuja msumbua mama bure. Mchakato wa Katiba ilikuaje ukasitishwa? Ni nani alifanya uharibifu ule wa pesa? Amepata hukumu gani?
Mwacheni Mama nyie mjifikirie kwa nini mliharibu mchakato wa Katiba na pesa hamkurudisha. Majizi makubwa nyie. Sasa mnakosa pesa mnataka mje zipata tena kwenye Katiba.
We ulijuaje nchi haitaji katiba? Unanuuliza % ngapi hivi kitu kikiwa kibovu kikamilishwa kwa 199% kitakuwa na mantiki kwel we msukule?
Rejea vitimbi vya kupitisha katiba kenya,,sio suala tu la kudumbukiza rasimu ya warioba,,kuna process,,na kura inahusika,,
Rasimu iliyopendekezwa ilipitishwa kwa kura,,ikabaki stage ya wananchi wote kuipigia kura,,
Sasa usidhani hiyo rasimu ilitupwa jalalani,,ipo
Rwanda ya Kagame inaendeshwa kibabe na wanayo katiba mbovu tu lakini kiuchumi wamesimama. Sisi tunaweza kupaa kiuchumi kwa katiba hii hii.Mchakato wa katiba uliharibiwa na wanasiasa wajinga waliotaka kupenyeza agenda zao ili waingie ikulu kirahisi matokeo yake yakaibuka malumbano na mwisho wa siku wenye mamlaka wakaamua wauzike tu...
Hata hawa wapiga kelele za katiba mpya ukiwauliza agenda zao utaona ni zilezile za maslahi ya kisiasa ili wapate urahisi wa kuingia madarakani lakini ukiwauliza hoja za msingi zenye manufaa ya moja kwa moja kwa wananchi hawana...
Ukiwauliza ni lini mmeitisha maandamo ya watu kupewa elimu bure na bora, huduma za afya bure, fao la kujitoa, kuboreshwa kwa pension za wazee wetu nk nk...
Hawakutaka serikali tatu. Ubishi na ujuaji uliua ile nia ya katiba. mara nyingine tujifunze kuwa humble. Kuna yaliyokuwa yanawezekana kwenye ile katiba kwa wakati ule. Yale yangefanyika. Yasiyowezekana yangeachwa pembeni ili wakati muafaka ukifika, nayo yapatiwe maamuzi.
Ujuaji na ego za watu ndio zimeharibu
Sitta alikuwa na uwezo wa kuharibu mchakato? Alikuwa mkubwa sana kicheo?Katiba iliharibiwa na lile bunge maalum la wahuni (bunge la katiba), wakiongozwa na Mhe. Samweli Sitta. Ukada wa vyama kwenye lile bunge ndio ulioharibu mchakato mzima wa katiba, hadi wakaja na katiba pendekezwa ambayo ilikuwa pro-Chama tawala.
Tena ugoro wa bibiyangu kule Kijijini kaliuwaKha! Kwahio nani aliyeharibu? Mbona umeuliza swali very genuine halafu umeishia kuongea ugoro?
Kiufupi ccm chini ya mwenyekiti wake kipindi kile Kikwete, alianzisha mchakato ana alipita mlango wa nyuma KWA kushirikiana na wanaccm wenzake kuharibu , KWA kulazimisha ingiza hoja ambazo zilionekana wazi kuondoa maana halisi ya mchakato mzima, usitafute mchawi ,Mnakuja msumbua mama bure. Mchakato wa Katiba ilikuaje ukasitishwa? Ni nani alifanya uharibifu ule wa pesa? Amepata hukumu gani?
Mwacheni Mama nyie mjifikirie kwa nini mliharibu mchakato wa Katiba na pesa hamkurudisha. Majizi makubwa nyie. Sasa mnakosa pesa mnataka mje zipata tena kwenye Katiba.
Kama mwenyewe aliwahi kili kuwa katiba inatatizo basi naye pia alikuwa na tatizo kushindwa kutoa Suluhu ya tatizoUlitaka huyu akufanyie kila kitu...!!
ulijuaje kama nchi inahitaji katiba mpya?..
Je katiba iliyopo inatekelezwa kwa asilimia ngapi?
Tatizo Hakuna muungano, ni uvamizi uliopewa Jina la muunganoKatiba mpya itasababisha Muungano ufe. Maana tuliona maoni ya watu wa kule upande wa pili 95% hawautaki Muungano. Hali hii ndio imesababisha mchakato wa Katiba mpya kusitishwa.
Jambo lingine ni Chama tawala kinanufaika na uwepo wa Katiba hii ya zamani.