Shiefl, usilaumu kabla hujaangalia level of understandings za hawa watu wa makundi mawili. Utaumiza moyo wako bure. Tatizo siyo sisiem, tatizo ni watu. Natamani kabla sijaitwa kiongozi wa dini walau nihudhurie madarasa kadhaa kupanua kiwango cha uelewa wangu. Natamani niwaze kwanza kabla sijaongea mbele ya kamera badala ya ninavyofanya sasa... This is shame!