Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Hivi hivi vitu huwa mnavisema metaphorically au? Yaani MJ akose pesa ya nepi za watoto!All in all,he was a talented artist, lakini siku zake za mwisho duniani he was broke hata alikosa pesa ya nepi za watoto
Nimesoma kitabu cha bodyguard wake ninacho hata sasa hivi,hawa walikuwa naye siku za mwisho, hata petrol kwenye gari kuna kipindi waliweka kwa pesa yao MJ aliishiwa pesaHivi hivi vitu huwa mnavisema metaphorically au? Yaani MJ akose pesa ya nepi za watoto!
Hivyo vitabu vinavyoandikwa na bodyguards, wasaidizi etc. vingi huwa ni publicity stunts wakijaribu kuingiza pesa kutumia jina la mtu fulani maarufu, MJ in our case. Ila sioni sababu ya kukulaumu kuamini yalioandikwa humo.Nimesoma kitabu cha bodyguard wake ninacho hata sasa hivi,hawa walikuwa naye siku za mwisho, hata petrol kwenye gari kuna kipindi waliweka kwa pesa yao MJ aliishiwa pesa
Jamaa walikuwa wanakaa miezi hawajalipwa, MJ alikuwa na pesa ndio ila zilienda kulipa madeni nk,
Bodyguard mmoja anasema alikuwa anaona ma receipt MJ anaingiza millions ila hakukuwa na pesa hata waliwahi kufukuzwa Hotelini kisa pesa hakuna
Ukitaka kujuwa Michael Jackson alikuwa anaimba nini,,
Tafuta wimbo uliopigwa na world music all stars,,
We are the world
*Sauti tamu kuliko zote utakayoisikia *,,
That will be Michael Jackson
The wacko Jacko
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Hapo ni kutwanga maji kwenye kinu , MTU mwenyewe kishandu haelewi"We Are the World"
"I Just Can't Stop Loving You
"Bad"
"Say Say Say"
You are not alone
Heal the World
Real?????unasema MJ hajui kuandika unajua hizo nyimbo??
Hiyo ya mwisho tu Heal the world ni nyimbo nzuri sana MJ anasema
There's a place in your heart
And I know that it is love
And this place it was brighter than tomorrow
And if you really try
You'll find there's no need to cry
In this place you'll feel there's no hurt or sorrow
There are ways to get there
If you care enough for the living
Make a little space
Make a better place
Wewe ndo hujui kitu MJ alipambanishwa na Shahidi wa Yehova TP sijui kwa nn TP bongo hakuwika ila huko majuu alikua rival mkubwa wa MJ
Hivi wimbo kama "Human Nature" unawezaje kuuita mmbaya au wa kawaida !
Dogo acha dharau, Hao wote uliowataja ni legends ila Mj ni Icon wa muziki, 90% ya pop culture ameiinfluence yeye.
MJ huwa hapambanishwi na mtu mmoja mmoja, Mj anapambanishwa na vikundi kama The Beatles , sio mtu mmoja.
Story za vijiweni hizo ..MJ hakuwa anatunga nyimbo zake zote,baadhi aliandikiwa, hivo ni vema unvetoa mfano wimbo upi uliona kazingua na sababu gani
All in all,he was a talented artist, lakini siku zake za mwisho duniani he was broke hata alikosa pesa ya nepi za watoto
Nakuwekea kitabu hapa usome Mkuu.Story za vijiweni hizo ..
Mtu ambaye alikuwa amesaini deal la kupiga shows 50 ashindwe kununua nepi [emoji23]
Mtu mpaka anakufa alikuwa anamiliki catalog ya Beatles, Kila mwezi muamala unasoma, unaongea nini mzee !
Adabu yako ndogo mtu kwa Michael Jackson. Hebu kaskize Liberian girl au you rock my world. Afu uje tenaKweli kabisa. Jamaa kama Diamond anazuga na vimaneno vyake viwili vitatu anateleza kwa sana.
Tayari anaiteka dunia na kumtajirisha bila jasho.
Kuna nymbo inaitwa I'll be there the JACKSON 5. Hapo akiwa na miaka 5 na yy ndo alikua akiongoza kundi kwa kuimba hyo ngoma. Bro.. Michael Jackson mwache!!!Amna mkuu mimi ni simba kindaki ndaki ila kwa tungo za maana ndugu yetu ni mweupe.
Baada aweke C ye anaweka X vitoto vya buku mbili FAKEN sanaKwa uandishi huu, sidhani kama utampinga mleta mada
Uko sahihi mzee.Kama nakuona ulivyokua serious wakati unaandika huu uzushi wako hapa, hadi kabisa unasema "tafuta Documentary ya show zake utaletewa kwanini bwana Wacko Jacko alijiita jina la kimakonde" lol [emoji23]
Kama aliishia Airport eti kisa bongo kunanuka hilo jina la kimakonde alilipata wapi?
Hivi unajua video ya wimbo wa Earth Song kuna vipande alivi shoot Tanzania tena umasaini?
Unajua kama MJ alikutana na Rais Mwinyi?
Unajua kama MJ alilala Kilimanjaro Hotel?
Unajua kama MJ alienda Sinza kituo cha Watoto Yatima?
Jina la Wacko Jacko alipewa na wazungu katika hali ya kumdhihaki lenye maana ya WACKO (Crazy) na JACKO (Monkey) yaani Crazy Monkey,
Mj alikua anachukia kuitwa hilo jina,
Nenda kafatilie habari kamili sio uzushi uzushi,
Kwa kweli ulimjua vizuri sana. He was SATANIC and magician at best. RIP MJ.1. Jamaa ana sauti ambayo kwa kizazi cha sasa ni ngumu kuipata.
2. Anamiliki jukwaa hasa, kama kuna mtu umewahi kumuona anamiliki jukwaa vizuri ktk show, basi elewa hajafika nusu ya michael jackson.
3. Alianza kutoa video dongo zenye kuvutia toka miaka 80 na 90 na mwanzoni mwa 2000. Katafute video zake uone.
Mwisho kabisa, alikuwa na spiritual power nyuma yake, alitengenezwa kuzimuni awe vile alivyokuwa, so sio rahisi mtu kushindana nae. Alianza kutumikia masonic toka akiwa kijana mdogo, alisambaza ishu za kubadili rangi ulimwengu mzima, akaja watoto wa kupandikiza, akaja ishu ya kubadili jinsia.
Mambo yote mazito ya kipepo walianza kumtumia yeye kuwa kama mjumbe wake. Achana na zile ngonjera sijui alibadili dini, zote zile bado alikuwa ktk mission ya masonic.
Apumzike huko anakostahili kupumzishwa.