Ni nani aliyewahi kuuelewa muziki wa Michael Jackson?

Ni nani aliyewahi kuuelewa muziki wa Michael Jackson?

MJ hakuwa anatunga nyimbo zake zote,baadhi aliandikiwa, hivo ni vema unvetoa mfano wimbo upi uliona kazingua na sababu gani

All in all,he was a talented artist, lakini siku zake za mwisho duniani he was broke hata alikosa pesa ya nepi za watoto
 
Hivi hivi vitu huwa mnavisema metaphorically au? Yaani MJ akose pesa ya nepi za watoto!
Nimesoma kitabu cha bodyguard wake ninacho hata sasa hivi,hawa walikuwa naye siku za mwisho, hata petrol kwenye gari kuna kipindi waliweka kwa pesa yao MJ aliishiwa pesa

Jamaa walikuwa wanakaa miezi hawajalipwa, MJ alikuwa na pesa ndio ila zilienda kulipa madeni nk,

Bodyguard mmoja anasema alikuwa anaona ma receipt MJ anaingiza millions ila hakukuwa na pesa hata waliwahi kufukuzwa Hotelini kisa pesa hakuna
 
Nimesoma kitabu cha bodyguard wake ninacho hata sasa hivi,hawa walikuwa naye siku za mwisho, hata petrol kwenye gari kuna kipindi waliweka kwa pesa yao MJ aliishiwa pesa

Jamaa walikuwa wanakaa miezi hawajalipwa, MJ alikuwa na pesa ndio ila zilienda kulipa madeni nk,

Bodyguard mmoja anasema alikuwa anaona ma receipt MJ anaingiza millions ila hakukuwa na pesa hata waliwahi kufukuzwa Hotelini kisa pesa hakuna
Hivyo vitabu vinavyoandikwa na bodyguards, wasaidizi etc. vingi huwa ni publicity stunts wakijaribu kuingiza pesa kutumia jina la mtu fulani maarufu, MJ in our case. Ila sioni sababu ya kukulaumu kuamini yalioandikwa humo.
 
Bro
"We Are the World"

"I Just Can't Stop Loving You

"Bad"

"Say Say Say"

You are not alone

Heal the World

Real?????unasema MJ hajui kuandika unajua hizo nyimbo??
Hiyo ya mwisho tu Heal the world ni nyimbo nzuri sana MJ anasema

There's a place in your heart
And I know that it is love
And this place it was brighter than tomorrow
And if you really try
You'll find there's no need to cry
In this place you'll feel there's no hurt or sorrow

There are ways to get there
If you care enough for the living
Make a little space
Make a better place
Hapo ni kutwanga maji kwenye kinu , MTU mwenyewe kishandu haelewi
 


Hivi wimbo kama "Human Nature" unawezaje kuuita mmbaya au wa kawaida !

Dogo acha dharau, Hao wote uliowataja ni legends ila Mj ni Icon wa muziki, 90% ya pop culture ameiinfluence yeye.

MJ huwa hapambanishwi na mtu mmoja mmoja, Mj anapambanishwa na vikundi kama The Beatles , sio mtu mmoja.

Wewe ndo hujui kitu MJ alipambanishwa na Shahidi wa Yehova TP sijui kwa nn TP bongo hakuwika ila huko majuu alikua rival mkubwa wa MJ
 
MJ hakuwa anatunga nyimbo zake zote,baadhi aliandikiwa, hivo ni vema unvetoa mfano wimbo upi uliona kazingua na sababu gani

All in all,he was a talented artist, lakini siku zake za mwisho duniani he was broke hata alikosa pesa ya nepi za watoto
Story za vijiweni hizo ..

Mtu ambaye alikuwa amesaini deal la kupiga shows 50 ashindwe kununua nepi [emoji23]

Mtu mpaka anakufa alikuwa anamiliki catalog ya Beatles, Kila mwezi muamala unasoma, unaongea nini mzee !
 
Story za vijiweni hizo ..

Mtu ambaye alikuwa amesaini deal la kupiga shows 50 ashindwe kununua nepi [emoji23]

Mtu mpaka anakufa alikuwa anamiliki catalog ya Beatles, Kila mwezi muamala unasoma, unaongea nini mzee !
Nakuwekea kitabu hapa usome Mkuu.
Maana hutonielewa mpaka usome kitabu,hiyo catalog naijua, unaambiwa pesa zilikuwa zinaingia in millions lakini zilienda kulipa madeni na legal issues, MJ alikuwa pia na matumizi mabaya sana.

Sisi ni wasomi, soma hicho kitabu alafu utani quote tudiscuss zaidi, pia ukipata muda katafute interview ya baba yake alisema "mwanangu amekufa masikini, amekuwa na thamani zaidi alivokufa
 

Attachments

Kama nakuona ulivyokua serious wakati unaandika huu uzushi wako hapa, hadi kabisa unasema "tafuta Documentary ya show zake utaletewa kwanini bwana Wacko Jacko alijiita jina la kimakonde" lol [emoji23]

Kama aliishia Airport eti kisa bongo kunanuka hilo jina la kimakonde alilipata wapi?

Hivi unajua video ya wimbo wa Earth Song kuna vipande alivi shoot Tanzania tena umasaini?
Unajua kama MJ alikutana na Rais Mwinyi?
Unajua kama MJ alilala Kilimanjaro Hotel?
Unajua kama MJ alienda Sinza kituo cha Watoto Yatima?

Jina la Wacko Jacko alipewa na wazungu katika hali ya kumdhihaki lenye maana ya WACKO (Crazy) na JACKO (Monkey) yaani Crazy Monkey,
Mj alikua anachukia kuitwa hilo jina,

Nenda kafatilie habari kamili sio uzushi uzushi,
Uko sahihi mzee.
 
1. Jamaa ana sauti ambayo kwa kizazi cha sasa ni ngumu kuipata.

2. Anamiliki jukwaa hasa, kama kuna mtu umewahi kumuona anamiliki jukwaa vizuri ktk show, basi elewa hajafika nusu ya michael jackson.

3. Alianza kutoa video dongo zenye kuvutia toka miaka 80 na 90 na mwanzoni mwa 2000. Katafute video zake uone.

Mwisho kabisa, alikuwa na spiritual power nyuma yake, alitengenezwa kuzimuni awe vile alivyokuwa, so sio rahisi mtu kushindana nae. Alianza kutumikia masonic toka akiwa kijana mdogo, alisambaza ishu za kubadili rangi ulimwengu mzima, akaja watoto wa kupandikiza, akaja ishu ya kubadili jinsia.

Mambo yote mazito ya kipepo walianza kumtumia yeye kuwa kama mjumbe wake. Achana na zile ngonjera sijui alibadili dini, zote zile bado alikuwa ktk mission ya masonic.

Apumzike huko anakostahili kupumzishwa.
Kwa kweli ulimjua vizuri sana. He was SATANIC and magician at best. RIP MJ.
 
Back
Top Bottom