Ni nani anastahili kuwa MwanaJamiiForums bora wa mwaka?

Nani Mwana JamiiForums bora wa mwaka kati ya hawa?

  • The Boss

  • Faiza Foxy

  • Mzee Mwanakijiji

  • BAK

  • Pasco

  • Heaven Sent

  • Victorie

  • Technically

  • Mshana Jr

  • Lizaboni


Results are only viewable after voting.
Mkuu yuko wapi Nyani Ngabu? kwenye orodha yako!!Ngabu ni mchangiaji mzuri, japo ni mkora kidogo lakini hoja zake huwa na mashiko na hayuko Biased na Sio mbinafsi.Nafikiri na yeye ana sifa za kuwa hapo.

Thank you, thank you.

You are far too kind.

But I'm too big for these annual accolades.

It has long been settled that I'm the man of all years in these forums and it's immutable.

Again, thank you ever so much for your kindness and consideration.

Real recognize real.

Respect.
 
Huyu ni wa muda wote wapo ambao si heshima.kushindanishwa wakati uwezo wake unaonekana, kwa masuala ya kimataifa ngabu ni hatari sana
 
Hapo ndo huwa sikuelewi uko kama john john mnyika
 
Pascal mayala anatumia jina gani humu alisema ni member mzr sna
 

Hapo nimekuelewa Mkuu.!
 
Huyu ni wa muda wote wapo ambao si heshima.kushindanishwa wakati uwezo wake unaonekana, kwa masuala ya kimataifa ngabu ni hatari sana

Shukran katheeran!

Tajiriba yangu kongwe na anuai juu ya masuala ya kimataifa ni hazina.
 
Hivi Pasco na Paskal Mayalla si ni watu tofauti, alieuliza swali Ikulu ni Paskali na hayupo kwenye listi hapo juu?..
*-ndugu yangu unampigia debe mtu mwingine[emoji1] [emoji1]

paco ndo mshindi fuuuuul stop

nimeanza kampeni rasmi kwa pasco alichokifanya hamna anayeweza kusimama na kuitambulisha jf kama yeye
 
Nakumbuka encore
 
Wakuu Nguruvi3 na Mag3 hawa michango yao imetulia sana wanastahili kuwemo kwenye hii list.
 
Kwa faiza fox nakuunga mkono ana maneno mabaya sijui kama kaolewa kama ni mke wa mtu mmewe anayo kazi
 
Yehodaya unamaaana gani unaposema wa kaskazini inamaana jamii wana upendeleo? Nashauri wrote tupige kura isinyeshe ubaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…