Kumbe na hangaika na lisingo maza,kumbuka singo maza huzaa singo maza pia,kama unataka kuwaokoa wanao ,wapeleke wakalelewe na wajomba zao,maana malezi ya singo mama huwa yamekaa kaa kimalaya malaya kujiuza
Umepaniki π€£Kama wewe unalegeza ni wewe pekee Yako
Small minded buffoons.Huyo mtoto mara nyingi huwa yupo na uncle zake pia,watu wanapenda sana kupangia watu maisha
Small minded buffoons.
Wanamkosoa hadi Mungu.
Mtoto kuwa handsome imekuwa shida.
Yaan eti mtoto akiwa mzuri oooh atakuwa shoga,hayo kwani mashoga wote wana sura nzuri kina kaoge walikuwa na sura mbaya,Small minded buffoons.
Wanamkosoa hadi Mungu.
Mtoto kuwa handsome imekuwa shida.
The little man is just a kid.
Jitahidi kumtenganisha mtoto na drama za Mama yake.
Na ukiwa kama Mzazi/ Mzazi mtarajiwa jifundishe kuwa na control na mdomo wako when it comes to kids.
Unapowaombea wanao, waombee na watoto wengine Mwenyezi Mungu awaongoze na kuwalinda!
You lack the capacity to put up a decent argument without negativity, pre conceived notions and hateful comments.Naona Karucee umegeuka jaji kutoa hukumu ya competitors wako kama mimi
Yaani unatuangalia,unatupa jajimenti eti wewe unaongea hivi,hujui hiki,hufanyi hiki kujenga hiki,hivyo sikuelewi,fanya hivi,ongea hivi,then nitakuelewa,hivyo nyamaza,etc
Blah blah blah
Na hiyo jajimenti naweza kutoa kwako wewe pia...
Wewe ni competitor wangu tunashindana hoja,wewe sio jaji among sisi wawili,madaraka hayo huna wala mimi sina,unajipa ujaji usiokua nao
Halafu nikae hapa nasikiliza hii jajimenti yako uchwara?
Pamoja Mkuu.Naunga mkono hoja, angeishia tu kusema malezi ya wazazi wawili ni muhimu sana, lakin si kumwombea mtoto kujisahau kuwa ni mwanaume
Hii siyo sawa hata kidogo kumchulia mtoto asiye na hatia.
Anaweza kuharibika mtoto wake yeye mwenyewe
He is God's creation.Huyo sio handisamu ni beautiful baby boy
Wangapi tumeona watoto wa mashekhe na wachungaji wameharibikaNaunga mkono hoja, angeishia tu kusema malezi ya wazazi wawili ni muhimu sana, lakin si kumwombea mtoto kujisahau kuwa ni mwanaume
Hii siyo sawa hata kidogo kumchulia mtoto asiye na hatia.
Anaweza kuharibika mtoto wake yeye mwenyewe
Mleta mada hajaeleweka, tatizo sio uzuri ila mama yake anampamba sanaYaan eti mtoto akiwa mzuri oooh atakuwa shoga,hayo kwani mashoga wote wana sura nzuri kina kaoge walikuwa na sura mbaya,
Halaf kumnenea mabaya mtoto wa mwenzio kuhukumu tu kutokana na muonekano tu, utafikiri kazalia tanzania nzima akii
Wachungaji na masheikh wana laana zao tu, tunawaona wasafi machoni ila gizani ni wachafu kuliko wapagani kwahiyo uzao wao ni kama Mungu anawaadhibuWangapi tumeona watoto wa mashekhe na wachungaji wameharibika
Nilishaapa sitaachia mwanamke maleziI stand for what I believe in.
No matter who thinks what.
I will voice my opinion if your balls feel squeezed then grow some steel ones.
Kwani magoti yenyewe yanasemaje Mkuu?Nilishaapa sitaachia mwanamke malezi
Hasa mnaoandika vizungu vizungu uchwara akili zenu ziko magotini
πππππππππππKwani magoti yenyewe yanasemaje Mkuu?