ComputersDAR
JF-Expert Member
- Jan 21, 2013
- 213
- 242
Lord have mercy! Now it’s clear this kid ain’t no normal kid. This kid has serious gender identity issues. Seems like deep inside he belives he’s mumny’s little girl and baby. Hayo macho yake mlegezo naweza kumsamehe maana atakuwa na damu ya kitutsi upande wa babake.
Mtoto wa kiume huyu ee Mungu tuongezee hekima wazazi kwenye malezi ya watoto wetu!!!
Ndugu una hela ya kumnunulia maziwa ya kuoga? Naskia anaogea maziwa tuila huyo irene huwa namfeel sana toka zamani nilikuwa nasikia wivu sana enzi zile H Baba anakula..
mi huwa nikiangalia muv zake akiongea tu ile sauti yake huwa nadisa.
hao mababa ndo mabazazi kwisha kazi, tuache kumnenea mtoto mabaya jamani hakuna mtu anaweza kumpenda huyu mtoto zaidi ya mama yake waja ebu mumwacheNani kamuombea mabaya zaidi ya kushauri mtoto apatiwe baba?
Handsome ama beautiful?!Mtoto ni handsome PERIOD
Bitter truth.The little man is just a kid.
Jitahidi kumtenganisha mtoto na drama za Mama yake.
Na ukiwa kama Mzazi/ Mzazi mtarajiwa jifundishe kuwa na control na mdomo wako when it comes to kids.
Unapowaombea wanao, waombee na watoto wengine Mwenyezi Mungu awaongoze na kuwalinda!
Cheki huo MKAO. Kamvalisha na viatu vya kike.
Mimi Jana nimepitia hii uzi nikaona wanachobishana sielewi nimerudi sasa nadikshonali pembeni labda ntapata kuelewa kilichokuwa kinazungumzwa.[emoji58][emoji58]Kuna mtu mmoja anapiga ngeli humu. I wish angeniazima next week nitimbie kwenye interview NGO flani hivi. Sema ndio hivo nitatimba na hii hii yenye plasta plasta..
Wenzie hao labda munaowazaa nyie hawana maadili kutokana na munavyowafundisha kwamba kushikana matako ni Sawa.Bitter truth.
Huyo mtoto anaelekea kua mchele mchele.
Wazungu wanasema " We have a situation here"
Indeed, we have.
Yes, he is just a kid anayelelewa kwenye mazingira hatarishi. No one is cursing here.
Samaki mkunje angali mbichi. Huyo akienda boarding wenzio watakua wanashika matako huku anacheka cheka. Na kesema 'where is mamiiii'
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Ma uncle ndo mabasha wenyewe wacha aendelee kumlea mwenyewe tuView attachment 1766743
View attachment 1769950
Nikimuangalia vizuri huyu mtoto wa Irene Uwoya ni wazi ana hitaji kuwa na baba kama sio baba au uncle maana ni wazi huyu mtoto kwa anavyo lelewa lazima atakuja kusahau kuwa yeye ni mwanaume!
Uwoya anamlea huyu mtoto kama mtoto wake wa kike au shosti yake kabisa!
Ina maana Harmonize au Mbosso wameshindwa kuwa baba wa huyu mtoto?
Wasalaam....
View attachment 1769953
Nakubaliana na wewe.Naunga mkono hoja mkuu, Ila cyo kwa hao uliyowapendekeza! kwa7bu nao bado ni watoto na hoja ni mtoto kupata malezi ya baba na si mtoto kupata malezi ya mtoto mwenzie. Nasema haya kwa jazba na kwa kumaanisha Kama baba na mlezi..ili kuepuka yacje jirudia yale ya janjaro na kumbomoa mtoto kiakili badala ya kumjenga.