Ni nani mwenye uwezo wa kutoa jibu la swali hili? Mimi nimechemka

Ni nani mwenye uwezo wa kutoa jibu la swali hili? Mimi nimechemka

6 Pack

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2022
Posts
2,819
Reaction score
5,996
Kwanza salam zangu za leo ziwafikie popote mlipo member wenzang.
Kuna best friend wangu alikuwa anauliza swali hili hapo chini 👇
Kati ya:
1] Mchina
2] Mwaarabu
3] Muhindi
Ni race ipi ambayo ukifanya nayo kazi haiwezi kukusumbua kwa upande wa malipo na haki zako zingine za msingi?

Maana jamaa anataka ku apply kazi mtandaoni, sasa ikitokea amepata kazi kwa race zote tatu kwa mpigo na kwa wakati mmoja.

Ni wapi unafikiri akienda ataweza kupata angalau kamshahara ka kurizisha, lkn pia hawatomsumbua sumbua sana kutokana na rangi yake.

Nawakilisha.
 
Kwanza salam zangu za leo ziwafikie popote mlipo member wenzang.
Kuna best friend wangu alikuwa anauliza swali hili hapo chini [emoji116]
Kati ya:
1] Mchina
2] Mwaarabu
3] Muhindi
Ni race ipi ambayo ukifanya nayo kazi haiwezi kukusumbua kwa upande wa malipo na haki zako zingine za msingi?

Maana jamaa anataka ku apply kazi mtandaoni, sasa ikitokea amepata kazi kwa race zote tatu kwa mpigo na kwa wakati mmoja.

Ni wapi unafikiri akienda ataweza kupata angalau kamshahara ka kurizisha, lkn pia hawatomsumbua sumbua sana kutokana na rangi yake.

Nawakilisha.
Kwa ufanyaj kaz wa ngoz nyeus/kibongo ambao muda mwing anaangalia kumpiga boss,na kupata nafasi ya kupiga.. nadhan hao wote hapo juu lazima wakuzingue
 
Kwa upande wangu niseme tu muhindi ananafu kwa malipo, yaani hazingui ingawa sijajuwa kama ni wote wapo hivo, Angalizo hata ukiugua utaenda kumeza dawa officen na kazi iendelee labda uwe hoi kitandani na sio habari za homa ya malaria au kichwa kuuma
 
1. Waarabu OG hawa sio wazunguaji, utalipwa kadiri ya makubaliano yenu na Kwa muda.

2. Wachina.
Hawa wanafuatia, wanalipa Kwa wakati ingawaje mishahara yao ni midogo inakaribiana na wahindi.

3. Wahindi.
Hawa ndio wamwisho, hawa wanazingua kuchelewesha mishahara, alafu wako very strictly yaani wanapenda kukusimamia, wanaongeaongea Sana. Pia mishahara yao ni kidunchu.

4. Wabongo
Hawa ndio wamwisho kabisa.

Namba moja kabisa hapo juu ni jamii za Ulaya
 
Kwa ufanyaj kaz wa ngoz nyeus/kibongo ambao muda mwing anaangalia kumpiga boss,na kupata nafasi ya kupiga.. nadhan hao wote hapo juu lazima wakuzingue
Kwahiyo hizi race huwa zinachukua maamuzi mabaya zaidi kwa wale ndugu zetu wapigaji?
 
Huyo hana nia na kazi.
Angekua na nia chagamoto hutatuliwa kadiri unavyokutana nazo mbele hukoo
Nia anayo, sema anaogopa kuingia katika hizi kazi kichwa kichwa.
 
Kwa upande wangu niseme tu muhindi ananafu kwa malipo, yaani hazingui ingawa sijajuwa kama ni wote wapo hivo, Angalizo hata ukiugua utaenda kumeza dawa officen na kazi iendelee labda uwe hoi kitandani na sio habari za homa ya malaria au kichwa kuuma
Umenichekesha sana mkuu kuhusu masharti ya kaz ya muhindi.
 
Nikiwa kama mwarabu wa mchongo. Upande wetu tupo vzr achana na wahinda utaishia kutukanwa tu.
 
1. Waarabu OG hawa sio wazunguaji, utalipwa kadiri ya makubaliano yenu na Kwa muda.

2. Wachina.
Hawa wanafuatia, wanalipa Kwa wakati ingawaje mishahara yao ni midogo inakaribiana na wahindi.

3. Wahindi.
Hawa ndio wamwisho, hawa wanazingua kuchelewesha mishahara, alafu wako very strictly yaani wanapenda kukusimamia, wanaongeaongea Sana. Pia mishahara yao ni kidunchu.

4. Wabongo
Hawa ndio wamwisho kabisa.

Namba moja kabisa hapo juu ni jamii za Ulaya
Namba 4 kwa wabongo hapo ndo kabisa hakuelezeki.
Mjomba wako au ndugu yako wa damu anaweza kukufanyisha kazi katika kampuni yake mfano garage, ofisi ya seremala nk.
Afu wakati wa malipo analeta undugu, na matokeo yake mnazinguana.
 
Me nimefanya nao kazi, nawafahamu,
Yani anaamini kama unaumwa pale anapokuona umelazwa hospital. Bila hivyo ni lazima uende kazin na ugonjwa wako. Dah kweli hawa watu huruma imewapitia mbali sana.
 
Back
Top Bottom